Kwenye ustaarabu, jamii ya Waarabu wanaongoza

Kwenye ustaarabu, jamii ya Waarabu wanaongoza

Kilimanjaro wanawake tunajisimamia, huwezi kuona hata huyo"mwarabu" akikaa ndani eti anasubiri kuhudumiwa
 
1. Mavazi.
2. Ulaji wa chakula.
3. Salamu
4. Heshima ya mke kwa Mume

Mwanamke hatakiwi kufanya kazi mwanaume kazi yake kupeleka huduma.

Hapa nimependa. Mwanamke akiwa na kibarua ni mtihani sana kwenye malezi ya watoto.. Ukizingatia mahouse girl wanavyosumbua na heshima ndani hakuna...

Ongeza mengine tuwape heshima yao

Kwanza hujafafanua maana ya ustaarabu!
Ustaarabu unatia ndani utamaduni, uchumi, maendeleo, umoja na ushirikiano. Ustaarabu ni mchakato wa jamii ambapo jamii zinafikia hatua ya juu ya maendeleo, kiushirikiano, utamaduni na uchumi.

Kila jamii ina ustaarabu wake. Mwarabu kutoa mbweo wakati wa kula ni ustaarabu ambao unakubalika wakati kwa wazungu si ustaarabu. Na kwa mzungu kujamba mbele za watu ni jambo la kawaida wakati kwa mwarabu ni najis.

Hapawezekani kuwa na ustaarabu kama jamii haina maendeleo au utamaduni fulani. Kila jamii ina ustaarabu wake tofauti!

Ustaarabu wa wazungu ni kula na umma na kisu, na kukaa kwenye meza. Wakati mwarabu atakaa kwenye jamvi au mkeka kula na mikono!

Ustaarabu wa mwarabu nikuoa wake wengi wakati mzungu, mchina, muhindi ni mke mmoja.

Ustaarabu wa mwarabu kule Uarabuni kwao ni kupiga na kuuwa wafanyakazi wakikosea, wakati wazungu ni kukusimamisha kazi kisheria.

Ustaarabu wa mwarabu ni kusalimia kwa kubusu iwe mwanaume au mwanamke na kushika mkono. Wakati wazungu ni Hi, Hello, good afternoon bila ku shake hands ili kuepukana na maambukizo kama flu n.k.

Ustaarabu wa waarabu ni kunawa ambapo anashika mavi, wakati wazungu wanafuta na toilet papers hawataki kushika mavi.

Kwahiyo ustaarabu unatofautiana, kila jamii inayo ustaarabu wake na kujiona bora kuliko nyingine.
 
Waarabu?!! Sidhani hata kumruhusu mtu ambaye si mwislamu kuabudu kwa dini yake ni kosa la kukatwa kichwa mara baada ya swala ya ijumaa
 
Hapo kwenye red..

Mkuu acha kuandika jambo usilolijua, hao wa Indonesia wamejaa kibao hasa huko nchi za Gulf,wafilipino wamejaa huko pia,usipende kuandika kwa kufuata mambo ya kusikia tu.
Mkuu nimesema wa Indonesia sio Phillipines, dubai wafanyakazi wengi wa ndani ni Philippines na Malaysia. Fanya uchunguzi kabla hujabishana mkuu wengine tumeshaishi huko.
 
hapo kwenye red, Unaongoza kwa takwimu zipi na nani alitoa hizo takwimu na ilikua lini? Acha kuchangia kwa chuki haitokusaidia lolote mkuu.
Lkn tukubaliane jamaa wanapenda sana hiyo mambo,nasikia kuna waarabu wasiposikia harufu ya mavi bhasi halisimami eti ni kweli?...
 
Mkuu nimesema wa Indonesia sio Phillipines, dubai wafanyakazi wengi wa ndani ni Philippines na Malaysia. Fanya uchunguzi kabla hujabishana mkuu wengine tumeshaishi huko.
Kwahiyo hukuona hapo nilipo andika wa Indonesia? Hiyo wafilipino nimeongezea tu,hebu isome tena comment yako #6 umesema "huwezi kumuona mu Indonesia anafanya kazi za ndani nchi za kiarabu" hiyo comment yako kuna sehemu uliandika Dubai?!

Ninachokwambia nina uhakika nacho kua wa Indonesia wamejaa nchi za kiarabu za Gulf.
 
Ndio wafiraji wakubwa wanaongoza kwa matumiz ya pombe kali japo kwao ni marufuku wabaguz wa rangi na dini washirikina kuliko wote duniani humsaidia mungu kutoa hukumu kwa kiwango cha juu
Upo sahihi kabisa.
 
ushaliwa tig# ww hao magaidi na wafiraji wakuu unawasifu
 
Tunazungumzia civilization ndugu
Kwani neno civilisation sindiyo ustaarabu wenyewe? Maendeleo ya kijamii na haki katika jamii ni ustaarabu. Pasipo haki hamna ustaarabu bali unyama.

Kwa mfano, mtu anaweza sema kwamba " mtu fulani siyo mstaarabu" kwa maana ya kwamba anafanya mambo either yakikatili au kinyume au mabaya yasiyo endana na desturi na utamaduni wao. Kwahiyo kinyume cha ustaarabu ni unyama na ukatili (barbarism)

Farlex dictionary inasema civilization is a society in an advanced state of social development (e.g., with complex legal and political and religious organizations) the people will slowly progress from barbarism to civilization"
 
1. Mavazi.
2. Ulaji wa chakula.
3. Salamu
4. Heshima ya mke kwa Mume

Mwanamke hatakiwi kufanya kazi mwanaume kazi yake kupeleka huduma.

Hapa nimependa. Mwanamke akiwa na kibarua ni mtihani sana kwenye malezi ya watoto.. Ukizingatia mahouse girl wanavyosumbua na heshima ndani hakuna...

Ongeza mengine tuwape heshima yao
Hakuna watu makatili duniani kama Waarabu, biashara ya utumwa iliendeshwa na Waarabu, wanawake wa Kiarabu wanalazimishwa kufunika uso na vazi baya kuliko yote la KANIKI ili watu wengine wasimtamani,mwanamke wa Kiaarabu haruhusiwe kutoka nje kama kwenda sokoni au kazini kwa sababu anaamini akitoka atachukuliwa na wanaume wengine.Hata kwenda shule Mwararabu hapendi kabisa mwanamke atoke kwenda kusoma.Jambo hili ndio limesababisha hadi sasa tunavyoongea Mwarabu ni mtu mweupe kama mzungu lakini anashika mkia katika medani ya elimu.Vitu vyote anavyotumia mwanadamu katika maisha yake yote vimegunduliwa na mzungu na ndie pekee anaevitengeneza e.g. magari,ndege, mitanbo yote, simu, kompyuta; nguo, majengo na vingine vingi.Baada ya Mwarabu kuwa wa mwisho kama mtu mweupe ndo sasa tunafuata sisi tunafunga namba ya mwisho kwa ujinga.Kutokana na kupungukiwa na elimu ya kutosha ndo maana Mwararabu amepungukiwa na busara amekuwa ni mtu anaeongoza duniani kwa ghasia na mapigano.Dunia nzima kwa sasa haina amani kwa sababu ya Mwarabu.Angalia hata sasa tunavyoongea Nigeria hakukaliki kwa sababu ya Boko haramu, watu wanalazimishwa wawe Waislamu dini ya Waarabu, Syria kuna vita kali kupindukia kati ya Waarabu kwa Waarabu, Libya moto wa vita unaendelea kuwaka kati ya Waarabu kwa Waarabu, Yemeni hakukaliki maelfu ya watu wameshateketezwa kati ya Waarabu kwa Waarabu,Afghanistan, Iraq, Somalia na kwingineko vita imepamba moto kwa sababu ya Mwarabu.Lakini huwezi kuona mahali popote duniani kwa sasa wazungu kwa wazungu au wakristo wakipigana vita ovyo.Mzingu pia alishajua kuwa waarabu wanapungikiwa na elimu kwa kiwango kikubwa amekuwa anatumia udhaifu huo kwa kuwagonganisha wao kwa wao ili wasiwe na umoja na nguvu.Kumbuka kuwa mtu mwenye elimu na teknolojia ya kutosha ni rahisi kukuletea ukoloni mambo leo.Mwarabu hana uwezo wa kugundua na kuchimba mafuta, ni lazima mzungu aende amfanyie hayo yote.Shughuli zote za maendeleo lazima ziendeshwe na mzungu na ndipo mzungu anapopata nafasi ya kumwingilia Mwarabu kiuchumi na kumvuruga kwa kila hali.Yote haya ni kwa sababu ya kukataa kusoma elimu dunia.Kwa hiyo kumzuia mwanamke asishiriki kazi na masomo kwa kuchanganyikana na wanaume sio ustaarabu bali ni wivu wa kupindukia alionao Mwarabu.Ustaarabu wa kuvaa na kula sielewi uzuri wake ni bora kuliko watu wengine kivipi.Mtoa mada naona ni mtu ambae ameathirika vibaya mno na utamaduni wa Kiarabu ambao unachangamoto lukuki ambazo hazikidhi kiu ya ELIMU.Mwarabu bado yuko kwenye giza totoro hususani katika elimu, sayansi na teknolojia na sioni hasa ni lipi walimwengu wanaweza kuchota kama hazina ya maendeleo kwa ujumla.Mleta mada hii naona kama amekurupuka.Kwenye ustaarabu jamii ya Waarabu ni wa mwisho.
 
1. Mavazi.
2. Ulaji wa chakula.
3. Salamu
4. Heshima ya mke kwa Mume

Mwanamke hatakiwi kufanya kazi mwanaume kazi yake kupeleka huduma.

Hapa nimependa. Mwanamke akiwa na kibarua ni mtihani sana kwenye malezi ya watoto.. Ukizingatia mahouse girl wanavyosumbua na heshima ndani hakuna...

Ongeza mengine tuwape heshima yao
Waarabu ndio wanaoongoza kunyanyasa wake zao.

Kwa mfano:

●Suala tu la kumuoa mke wako kisha baadae kumletea wanawake wenzake bila ridhaa yake ni UONEVU.

●Waarabu (katika nchi za kiarabu hasa) hawawaruhusu wake zao hata kuendesha gari au kufanya kazi yoyote ile...hivyo hawana sababu ya kusomea tasnia yoyote kwasababu hawataifanyia kazi.

●Hilo la salamu...waarabu na waislam weusi hawa wabantu wa uswazini wenye pua pana na nywele ngumu huwa wanawaambia tu waislam wenzao "Asalaam Aleykum" ila wasio waislam wanawaambia vipi, au niaje au mambo? Kwahiyo salamu yao ni ya KIBAGUZI.

● Kuhusu mavazi wapo wanawake wa kiislam wanaovaa hijabu na nikab muda wote ila ni wahuni na washenzi walipitiliza hadi uf*iraji wanahusudu.

Wabillah Tawfiq

 
Ndio wafiraji wakubwa wanaongoza kwa matumiz ya pombe kali japo kwao ni marufuku wabaguz wa rangi na dini washirikina kuliko wote duniani humsaidia mungu kutoa hukumu kwa kiwango cha juu
Ni kweli kabisa.
 
Ili usemalo ni la kila jamii kwa sasa so kwa wearabu ni % ndogo sana na ni rumours ambazo hazijathibitishwa tofauti na wazungu ambao wanamikanda ya video ya hizo ishu
Wazungu huwa wapo open na wanaweka mambo yao wazi hata maovu.

Waarabu ni wachafu sana, wana roho mbaya sana na hata ufiraji wanafanya hawa ila wanafanya kwa siri.

Ni watu wa dhambi za siri hawa.
 
Back
Top Bottom