Kwenye ustaarabu, jamii ya Waarabu wanaongoza

Kwenye ustaarabu, jamii ya Waarabu wanaongoza

Ustaarabu ni pamoja na imani/dini yao.
1.) Kuoa wake wengi kama mbuzi
2.) Kupiga mawe hadi kufa wanawake wanaopata mimba nje ya ndoa kwa kubakwa
3.) Kuoa wanawake (watoto) wa miaka 7
4.) Kuwavalisha kininja wanawake hata kwa sehemu zenye joto kali
5.) Kuzuia wanawake kuendesha magari
6.) Kuzuia wanawake kutoka nje ya nyumba bila ndugu wa kiume / mume
Sasa hapo tatizo liko wapi? Hiyo hoja ya kuoa chini ya miaka 7 ni chuki zako tu nani kafanya toa ushahidi...in Africa mabinti wanaolewa mapema sana tena wanaorder mimba hapo unasemaje?
 
Ningekuwa mjukuu wa hawa watu (waarabu na wazungu) ningeufolo huu uzi kimya kimya nikismile jinsi wabantu wanavyopigana vikumbo kutetea “ustaarabu“ jamii yetu ulioachwa na mababu zangu enzi na enzi…
Toa elimu kwa vijana
 
Sasa hapo tatizo liko wapi? Hiyo hoja ya kuoa chini ya miaka 7 ni chuki zako tu nani kafanya toa ushahidi...in Africa mabinti wanaolewa mapema sana tena wanaorder mimba hapo unasemaje?
Tatizo liko wapi? Basi tuishie hapa.
 
HAKUNA WATU WASTAARABU NA WANAJUA KUFUATA HAKI ZA KIBINADAMU KAMA WAZUNGU. SEMA TU SIKU HIZI WAMEHARIBIKA.
WAARABU SIO WASTAARABU

tena kweli wazungu wastaarabu sana mpaka chooni hawajitawazi na maji kwa makaratasi toilet paper halafu mwanae wa kike 16 years anaweza kuja nyumbani na boy friend wake na kuwatambulisha nyumbani akawa anagonga papuchi hapo kwao
 
1. Mavazi.
2. Ulaji wa chakula.
3. Salamu
4. Heshima ya mke kwa Mume

Mwanamke hatakiwi kufanya kazi mwanaume kazi yake kupeleka huduma.

Hapa nimependa. Mwanamke akiwa na kibarua ni mtihani sana kwenye malezi ya watoto.. Ukizingatia mahouse girl wanavyosumbua na heshima ndani hakuna...

Ongeza mengine tuwape heshima yao
mkuu lakini umesahau kuwa uarabu ndio unaoongoza kufirrana duniani? wanalinda tu bikra za mbele za nyuma ni suna? huo nao ustaarabu? hadi maeneo yoote waliyotembelea hapa bongo wameacha hiyo laana, zanzibar, Tanga, mombasa, pwani yooote wamecopy ustaarabu wote. leo hii ukiwa na dadako ukasikia anatembea na mwarabu, kila mtu anabaki mdomo wazi.
 
mkuu lakini umesahau kuwa uarabu ndio unaoongoza kufirrana duniani? wanalinda tu bikra za mbele za nyuma ni suna? huo nao ustaarabu? hadi maeneo yoote waliyotembelea hapa bongo wameacha hiyo laana, zanzibar, Tanga, mombasa, pwani yooote wamecopy ustaarabu wote. leo hii ukiwa na dadako ukasikia anatembea na mwarabu, kila mtu anabaki mdomo wazi.
Acha chuki....
 
Tatizo hilo linatokana na serikali yetu haina misingi ya ajira kwa wananchi wake. Huwezi kumuona mu Indonesia anafanya kazi za ndani nchi za kiarabu . Halafu hata sisi wenyewe tunawafanyia ukatili hawa wadada wa kazi na kuwabaka kama watumwa wa ngono.
Hapo kwenye red..

Mkuu acha kuandika jambo usilolijua, hao wa Indonesia wamejaa kibao hasa huko nchi za Gulf,wafilipino wamejaa huko pia,usipende kuandika kwa kufuata mambo ya kusikia tu.
 
Ndio wafiraji wakubwa wanaongoza kwa matumiz ya pombe kali japo kwao ni marufuku wabaguz wa rangi na dini washirikina kuliko wote duniani humsaidia mungu kutoa hukumu kwa kiwango cha juu
Hapo kwenye red,
Aisifuye mvua jua imemnyeshea/imemnyea.
 
mkuu lakini umesahau kuwa uarabu ndio unaoongoza naoongoza kufirrana duniani? wanalinda tu bikra za mbele za nyuma ni suna? huo nao ustaarabu? hadi maeneo yoote waliyotembelea hapa bongo wameacha hiyo laana, zanzibar, Tanga, mombasa, pwani yooote wamecopy ustaarabu wote. leo hii ukiwa na dadako ukasikia anatembea na mwarabu, kila mtu anabaki mdomo wazi.
hapo kwenye red, Unaongoza kwa takwimu zipi na nani alitoa hizo takwimu na ilikua lini? Acha kuchangia kwa chuki haitokusaidia lolote mkuu.
 
Back
Top Bottom