Kwenye Uchaguzi Mkuu wa Venezuela wa 2024, María Machado mpinzani aliyekuwa na nguvu na akimsumbua Maduro alizuiwa na Tume ya Uchaguzi (CNE) kugombea

Kwenye Uchaguzi Mkuu wa Venezuela wa 2024, María Machado mpinzani aliyekuwa na nguvu na akimsumbua Maduro alizuiwa na Tume ya Uchaguzi (CNE) kugombea

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
17,177
Reaction score
41,623
Kwenye Uchaguzi Mkuu wa Venezuela wa 2024, María Machado mpinzani aliyekuwa na nguvu na akimsumbua Maduro alizuiwa na Tume ya Uchaguzi (CNE) kugombea. Alipigwa "ban" ya kisiasa. Viongozi wengine wa upinzani waliokuwa na nguvu walikamatwa na kufungwa gerezani, kama vile Freddy Superlano na Roberto Abdul.

Wengine walikimbia nchi kunusuru maisha yao, wakiwemo Edmundo González Urrutia na Leopoldo López waliokimbilia Hispania. Maduro akabaki mgombea pekee mwenye nguvu.

Akavikusanya vyama 13 vya upinzani (vilivyo dhaifu) vikatangaza kumuunga mkono. Kwenye karatasi ya kupigia kura, picha ya Maduro ikatokea mara 13 idadi ya vyama vilivyomuunga mkono. Yani usipomuona kwenye kisanduku cha kwanza utakutana naye kwenye kisanduku cha pili, cha 3, hadi cha 13.

Vikawepo vyama vingine dhaifu ambavyo vilishiriki uchaguzi ili kuhalalisha ushindi wa Maduro. Wazee wa kutumika kama Chauma.

María Machado alipoona hivyo, akaamua kumshawishi Edmundo González arudi Venezuela na kugombea. Pamoja na hofu ya kukamatwa lakini akarudi. Maria akamuunga mkono González na kumfanyia kampeni.

Wananchi wakamwelewa González akapata uungwaji mkono mkubwa. Maduro akaona hii sasa balaa. Ikabidi abuni "mbwinu" za kulinda Urais wake.

Julai 28 siku ya uchaguzi mawakala wa González wakafukuzwa vituoni. Makada wa chama tawala PSUV wakavalishwa kiraia na kuzungushwa kwa mabasi kupiga kura zaidi ya kituo kimoja. Yani linakuja basi na abiria 60 wanashushwa kwa escort ya polisi, wanapiga kura, kisha wanasepa kwenda kupiga kura vituo vingine.

Upinzani ukalalamika lakini nani atawasikiliza wakati Hakimu ndiye Mlalamikiwa?

Wakati zoezi la kuhesabu kura na kujumuisha matokeo likiendelea, intaneti ikazimwa nchi nzima. Kesho yake (July 29) intaneti ikarudishwa na matokeo kutangazwa papo hapo. Watu wakajiuliza kura za nchi nzima zimewezaje kujumlishwa bila intaneti ndani ya siku moja tu?

Lakini pamoja na hujuma zote hizo Maduro akapata ushindi mwembamba wa 51% akifuatiwa na González 44%.

Waangalizi wa kimataifa (EU na The Carter Center) wakasema uchaguzi haukuwa huru wala wa haki. Hata hivyo malalamiko yote yakakosa nguvu kwa sababu Katiba ya Venezuela inazuia matokeo ya Rais kupingwa mahakamani.!

Britanicca
 
Kwenye Uchaguzi Mkuu wa Venezuela wa 2024, María Machado mpinzani aliyekuwa na nguvu na akimsumbua Maduro alizuiwa na Tume ya Uchaguzi (CNE) kugombea. Alipigwa "ban" ya kisiasa. Viongozi wengine wa upinzani waliokuwa na nguvu walikamatwa na kufungwa gerezani, kama vile Freddy Superlano na Roberto Abdul.

Wengine walikimbia nchi kunusuru maisha yao, wakiwemo Edmundo González Urrutia na Leopoldo López waliokimbilia Hispania. Maduro akabaki mgombea pekee mwenye nguvu.

Akavikusanya vyama 13 vya upinzani (vilivyo dhaifu) vikatangaza kumuunga mkono. Kwenye karatasi ya kupigia kura, picha ya Maduro ikatokea mara 13 idadi ya vyama vilivyomuunga mkono. Yani usipomuona kwenye kisanduku cha kwanza utakutana naye kwenye kisanduku cha pili, cha 3, hadi cha 13.

Vikawepo vyama vingine dhaifu ambavyo vilishiriki uchaguzi ili kuhalalisha ushindi wa Maduro. Wazee wa kutumika kama Chauma.

María Machado alipoona hivyo, akaamua kumshawishi Edmundo González arudi Venezuela na kugombea. Pamoja na hofu ya kukamatwa lakini akarudi. Maria akamuunga mkono González na kumfanyia kampeni.

Wananchi wakamwelewa González akapata uungwaji mkono mkubwa. Maduro akaona hii sasa balaa. Ikabidi abuni "mbwinu" za kulinda Urais wake.

Julai 28 siku ya uchaguzi mawakala wa González wakafukuzwa vituoni. Makada wa chama tawala PSUV wakavalishwa kiraia na kuzungushwa kwa mabasi kupiga kura zaidi ya kituo kimoja. Yani linakuja basi na abiria 60 wanashushwa kwa escort ya polisi, wanapiga kura, kisha wanasepa kwenda kupiga kura vituo vingine.

Upinzani ukalalamika lakini nani atawasikiliza wakati Hakimu ndiye Mlalamikiwa?

Wakati zoezi la kuhesabu kura na kujumuisha matokeo likiendelea, intaneti ikazimwa nchi nzima. Kesho yake (July 29) intaneti ikarudishwa na matokeo kutangazwa papo hapo. Watu wakajiuliza kura za nchi nzima zimewezaje kujumlishwa bila intaneti ndani ya siku moja tu?

Lakini pamoja na hujuma zote hizo Maduro akapata ushindi mwembamba wa 51% akifuatiwa na González 44%.

Waangalizi wa kimataifa (EU na The Carter Center) wakasema uchaguzi haukuwa huru wala wa haki. Hata hivyo malalamiko yote yakakosa nguvu kwa sababu Katiba ya Venezuela inazuia matokeo ya Rais kupingwa mahakamani.!

Britanicca
Samia Suluhu amekuwa mwanafunzi mzuri sana wa Maduro kila upuuzi anaotufanyia Watanganyika ameutoa kwa Maduro
 
Akavikusanya vyama 13 vya upinzani (vilivyo dhaifu) vikatangaza kumuunga mkono. Kwenye karatasi ya kupigia kura, picha ya Maduro ikatokea mara 13 idadi ya vyama vilivyomuunga mkono. Yani usipomuona kwenye kisanduku cha kwanza utakutana naye kwenye kisanduku cha pili, cha 3, hadi cha 13.
 
Kwenye Uchaguzi Mkuu wa Venezuela wa 2024, María Machado mpinzani aliyekuwa na nguvu na akimsumbua Maduro alizuiwa na Tume ya Uchaguzi (CNE) kugombea. Alipigwa "ban" ya kisiasa. Viongozi wengine wa upinzani waliokuwa na nguvu walikamatwa na kufungwa gerezani, kama vile Freddy Superlano na Roberto Abdul.

Wengine walikimbia nchi kunusuru maisha yao, wakiwemo Edmundo González Urrutia na Leopoldo López waliokimbilia Hispania. Maduro akabaki mgombea pekee mwenye nguvu.

Akavikusanya vyama 13 vya upinzani (vilivyo dhaifu) vikatangaza kumuunga mkono. Kwenye karatasi ya kupigia kura, picha ya Maduro ikatokea mara 13 idadi ya vyama vilivyomuunga mkono. Yani usipomuona kwenye kisanduku cha kwanza utakutana naye kwenye kisanduku cha pili, cha 3, hadi cha 13.

Vikawepo vyama vingine dhaifu ambavyo vilishiriki uchaguzi ili kuhalalisha ushindi wa Maduro. Wazee wa kutumika kama Chauma.

María Machado alipoona hivyo, akaamua kumshawishi Edmundo González arudi Venezuela na kugombea. Pamoja na hofu ya kukamatwa lakini akarudi. Maria akamuunga mkono González na kumfanyia kampeni.

Wananchi wakamwelewa González akapata uungwaji mkono mkubwa. Maduro akaona hii sasa balaa. Ikabidi abuni "mbwinu" za kulinda Urais wake.

Julai 28 siku ya uchaguzi mawakala wa González wakafukuzwa vituoni. Makada wa chama tawala PSUV wakavalishwa kiraia na kuzungushwa kwa mabasi kupiga kura zaidi ya kituo kimoja. Yani linakuja basi na abiria 60 wanashushwa kwa escort ya polisi, wanapiga kura, kisha wanasepa kwenda kupiga kura vituo vingine.

Upinzani ukalalamika lakini nani atawasikiliza wakati Hakimu ndiye Mlalamikiwa?

Wakati zoezi la kuhesabu kura na kujumuisha matokeo likiendelea, intaneti ikazimwa nchi nzima. Kesho yake (July 29) intaneti ikarudishwa na matokeo kutangazwa papo hapo. Watu wakajiuliza kura za nchi nzima zimewezaje kujumlishwa bila intaneti ndani ya siku moja tu?

Lakini pamoja na hujuma zote hizo Maduro akapata ushindi mwembamba wa 51% akifuatiwa na González 44%.

Waangalizi wa kimataifa (EU na The Carter Center) wakasema uchaguzi haukuwa huru wala wa haki. Hata hivyo malalamiko yote yakakosa nguvu kwa sababu Katiba ya Venezuela inazuia matokeo ya Rais kupingwa mahakamani.!

Britanicca
Vikawepo vyama vingine dhaifu ambavyo vilishiriki uchaguzi ili kuhalalisha ushindi wa Maduro. Wazee wa kutumika kama Chauma.
 
Kwenye Uchaguzi Mkuu wa Venezuela wa 2024, María Machado mpinzani aliyekuwa na nguvu na akimsumbua Maduro alizuiwa na Tume ya Uchaguzi (CNE) kugombea. Alipigwa "ban" ya kisiasa. Viongozi wengine wa upinzani waliokuwa na nguvu walikamatwa na kufungwa gerezani, kama vile Freddy Superlano na Roberto Abdul.

Wengine walikimbia nchi kunusuru maisha yao, wakiwemo Edmundo González Urrutia na Leopoldo López waliokimbilia Hispania. Maduro akabaki mgombea pekee mwenye nguvu.

Akavikusanya vyama 13 vya upinzani (vilivyo dhaifu) vikatangaza kumuunga mkono. Kwenye karatasi ya kupigia kura, picha ya Maduro ikatokea mara 13 idadi ya vyama vilivyomuunga mkono. Yani usipomuona kwenye kisanduku cha kwanza utakutana naye kwenye kisanduku cha pili, cha 3, hadi cha 13.

Vikawepo vyama vingine dhaifu ambavyo vilishiriki uchaguzi ili kuhalalisha ushindi wa Maduro. Wazee wa kutumika kama Chauma.

María Machado alipoona hivyo, akaamua kumshawishi Edmundo González arudi Venezuela na kugombea. Pamoja na hofu ya kukamatwa lakini akarudi. Maria akamuunga mkono González na kumfanyia kampeni.

Wananchi wakamwelewa González akapata uungwaji mkono mkubwa. Maduro akaona hii sasa balaa. Ikabidi abuni "mbwinu" za kulinda Urais wake.

Julai 28 siku ya uchaguzi mawakala wa González wakafukuzwa vituoni. Makada wa chama tawala PSUV wakavalishwa kiraia na kuzungushwa kwa mabasi kupiga kura zaidi ya kituo kimoja. Yani linakuja basi na abiria 60 wanashushwa kwa escort ya polisi, wanapiga kura, kisha wanasepa kwenda kupiga kura vituo vingine.

Upinzani ukalalamika lakini nani atawasikiliza wakati Hakimu ndiye Mlalamikiwa?

Wakati zoezi la kuhesabu kura na kujumuisha matokeo likiendelea, intaneti ikazimwa nchi nzima. Kesho yake (July 29) intaneti ikarudishwa na matokeo kutangazwa papo hapo. Watu wakajiuliza kura za nchi nzima zimewezaje kujumlishwa bila intaneti ndani ya siku moja tu?

Lakini pamoja na hujuma zote hizo Maduro akapata ushindi mwembamba wa 51% akifuatiwa na González 44%.

Waangalizi wa kimataifa (EU na The Carter Center) wakasema uchaguzi haukuwa huru wala wa haki. Hata hivyo malalamiko yote yakakosa nguvu kwa sababu Katiba ya Venezuela inazuia matokeo ya Rais kupingwa mahakamani.!

Britanicca
 

Attachments

  • Screenshot_20260106-063522.png
    Screenshot_20260106-063522.png
    558.7 KB · Views: 7
Kwenye Uchaguzi Mkuu wa Venezuela wa 2024, María Machado mpinzani aliyekuwa na nguvu na akimsumbua Maduro alizuiwa na Tume ya Uchaguzi (CNE) kugombea. Alipigwa "ban" ya kisiasa. Viongozi wengine wa upinzani waliokuwa na nguvu walikamatwa na kufungwa gerezani, kama vile Freddy Superlano na Roberto Abdul.

Wengine walikimbia nchi kunusuru maisha yao, wakiwemo Edmundo González Urrutia na Leopoldo López waliokimbilia Hispania. Maduro akabaki mgombea pekee mwenye nguvu.

Akavikusanya vyama 13 vya upinzani (vilivyo dhaifu) vikatangaza kumuunga mkono. Kwenye karatasi ya kupigia kura, picha ya Maduro ikatokea mara 13 idadi ya vyama vilivyomuunga mkono. Yani usipomuona kwenye kisanduku cha kwanza utakutana naye kwenye kisanduku cha pili, cha 3, hadi cha 13.

Vikawepo vyama vingine dhaifu ambavyo vilishiriki uchaguzi ili kuhalalisha ushindi wa Maduro. Wazee wa kutumika kama Chauma.

María Machado alipoona hivyo, akaamua kumshawishi Edmundo González arudi Venezuela na kugombea. Pamoja na hofu ya kukamatwa lakini akarudi. Maria akamuunga mkono González na kumfanyia kampeni.

Wananchi wakamwelewa González akapata uungwaji mkono mkubwa. Maduro akaona hii sasa balaa. Ikabidi abuni "mbwinu" za kulinda Urais wake.

Julai 28 siku ya uchaguzi mawakala wa González wakafukuzwa vituoni. Makada wa chama tawala PSUV wakavalishwa kiraia na kuzungushwa kwa mabasi kupiga kura zaidi ya kituo kimoja. Yani linakuja basi na abiria 60 wanashushwa kwa escort ya polisi, wanapiga kura, kisha wanasepa kwenda kupiga kura vituo vingine.

Upinzani ukalalamika lakini nani atawasikiliza wakati Hakimu ndiye Mlalamikiwa?

Wakati zoezi la kuhesabu kura na kujumuisha matokeo likiendelea, intaneti ikazimwa nchi nzima. Kesho yake (July 29) intaneti ikarudishwa na matokeo kutangazwa papo hapo. Watu wakajiuliza kura za nchi nzima zimewezaje kujumlishwa bila intaneti ndani ya siku moja tu?

Lakini pamoja na hujuma zote hizo Maduro akapata ushindi mwembamba wa 51% akifuatiwa na González 44%.

Waangalizi wa kimataifa (EU na The Carter Center) wakasema uchaguzi haukuwa huru wala wa haki. Hata hivyo malalamiko yote yakakosa nguvu kwa sababu Katiba ya Venezuela inazuia matokeo ya Rais kupingwa mahakamani.!

Britanicca
Kwenye Uchaguzi Mkuu wa Venezuela wa 2024, María Machado mpinzani aliyekuwa na nguvu na akimsumbua Maduro alizuiwa na Tume ya Uchaguzi (CNE) kugombea. Alipigwa "ban" ya kisiasa. Viongozi wengine wa upinzani waliokuwa na nguvu walikamatwa na kufungwa gerezani, kama vile Freddy Superlano na Roberto Abdul.

Wengine walikimbia nchi kunusuru maisha yao, wakiwemo Edmundo González Urrutia na Leopoldo López waliokimbilia Hispania. Maduro akabaki mgombea pekee mwenye nguvu.

Akavikusanya vyama 13 vya upinzani (vilivyo dhaifu) vikatangaza kumuunga mkono. Kwenye karatasi ya kupigia kura, picha ya Maduro ikatokea mara 13 idadi ya vyama vilivyomuunga mkono. Yani usipomuona kwenye kisanduku cha kwanza utakutana naye kwenye kisanduku cha pili, cha 3, hadi cha 13.

Vikawepo vyama vingine dhaifu ambavyo vilishiriki uchaguzi ili kuhalalisha ushindi wa Maduro. Wazee wa kutumika kama Chauma.

María Machado alipoona hivyo, akaamua kumshawishi Edmundo González arudi Venezuela na kugombea. Pamoja na hofu ya kukamatwa lakini akarudi. Maria akamuunga mkono González na kumfanyia kampeni.

Wananchi wakamwelewa González akapata uungwaji mkono mkubwa. Maduro akaona hii sasa balaa. Ikabidi abuni "mbwinu" za kulinda Urais wake.

Julai 28 siku ya uchaguzi mawakala wa González wakafukuzwa vituoni. Makada wa chama tawala PSUV wakavalishwa kiraia na kuzungushwa kwa mabasi kupiga kura zaidi ya kituo kimoja. Yani linakuja basi na abiria 60 wanashushwa kwa escort ya polisi, wanapiga kura, kisha wanasepa kwenda kupiga kura vituo vingine.

Upinzani ukalalamika lakini nani atawasikiliza wakati Hakimu ndiye Mlalamikiwa?

Wakati zoezi la kuhesabu kura na kujumuisha matokeo likiendelea, intaneti ikazimwa nchi nzima. Kesho yake (July 29) intaneti ikarudishwa na matokeo kutangazwa papo hapo. Watu wakajiuliza kura za nchi nzima zimewezaje kujumlishwa bila intaneti ndani ya siku moja tu?

Lakini pamoja na hujuma zote hizo Maduro akapata ushindi mwembamba wa 51% akifuatiwa na González 44%.

Waangalizi wa kimataifa (EU na The Carter Center) wakasema uchaguzi haukuwa huru wala wa haki. Hata hivyo malalamiko yote yakakosa nguvu kwa sababu Katiba ya Venezuela inazuia matokeo ya Rais kupingwa mahakamani.!

Britanicca
Yote tisa, kumi tuna oil reserve ya kiasi gani ya kumpa bwana Trump
 

Attachments

  • 20251121_092930.jpg
    20251121_092930.jpg
    182.9 KB · Views: 9
Leo anatembezwa kama bata downtown Manhattan huko,anakula na kulala kwa filimbi
Wakati wa kukagua kuhakiki hajaingia na vitu jela anaambiwa "vua nguo inama, panua miguu".
Askari vijana wadogo tu wanamchungulia nyuma yake kwenye ile nukta au kwenye O kama kaficha vitu.
 
Wakati wa kukagua kuhakiki hajaingia na vitu jela anaambiwa "vua nguo inama, panua miguu".
Askari vijana wadogo tu wanamchungulia nyuma yake kwenye ile nukta au kwenye O kama kaficha vitu.
Yeah..inaitwa kufungua kitabu😅😅
 
Samia ni kama Dikteta Maduro Migogoro hii kwa hakika inahusu China na kuendelea kuwepo kwa Dola ya Marekani.

Sio Mafuta pekee au demokrasia kuwa ndiyo sababu ya Marekani kumtoa Maduro. Nchi kama Iraq, Iran, na Venezuela zinakuwa "tishio la kimfumo" pale tu zinapojaribu kujitenga na mfumo wa dola ya Marekani. Mapema miaka ya 2000, "dhambi" ya kweli ya Iraq ilikuwa ni kutishia kubadilisha jinsi mafuta yanavyopangiwa bei na kulipiwa. Leo, China imefanya vivyo hivyo kwa kudhibiti mafuta kupitia:- (1)Kutumia njia za usafirishaji zisizo rasmi na mifumo ya malipo isiyotumia dola (2)Kuifadhili Venezuela na Iran mifumo ya kupata mafuta kwa muda mrefu. (3)Kufanya kazi kama "mlango wa kutokea" kwa mataifa yaliyowekewa vikwazo na Marekani.

Marekani haitafuti tu kubadilisha serikali; bali inafanya kazi ya "kuvunja minyororo ya udhibiti." Kwa kulenga makampuni ya bima, bandari za usafirishaji, na njia za malipo. Lengo ni kurejesha utawala juu ya "moyo" wa dunia, mfumo unaoamua nani analipwa na kwa sarafu gani.

Mafuta ni "damu" tu ya uchumi wa dunia. Mapambano ya kweli ni juu ya:
(11)Kuifanya dola iendelee kuwa akiba kuu ya dunia. (2) Kudhibiti jinsi miamala ya kimataifa inavyofanyika.
(3) Kuhakikisha kuwa China haiwezi kukwepa mifumo ya kifedha ya Magharibi.

Funzo ni kwamba wakati umma ukibishana kuhusu siasa, matajiri wanachambua mifumo hii. Kukamatwa kwa Maduro (au kuanguka kwake) hakuuhusu demokrasia pekee, bali ni kuvunja nguvu ya China katika nishati na fedha kwenye kanda hiyo.
 
Back
Top Bottom