MatumboMatumbo na kichwa

Na ka'aroma flani hiviNapenda Sangara,
Upande wa kichwa hasa jicho napenda sana, kuna ute ute flani hivi una ladha amaziiiiiing.
![]()
@ ChakoriiHuu mwandiko wako umekaa kinyonge mno T 1990 ELY kwanini
Usiniambie Leo umekula kichwahuu mwandiko wako umenifanya leo nile kichwa hapa si kwa utamu ule..loh!tunafanana hapo aise



TakoKwa upande wangu napenda kula kichwa aiseNinaweza nisile ugali aloo
..ninakisosomola ni kinouma
Sasa wale watu wa kuenda extra maili sasanamaanisha samaki wa baharini kama yule aliem’meza Yona
![]()
Akili za kuumwa na njaa hizi
Maisha ukichukulia siriazi sana utakata moto
Imeisha hiyoooo...![]()
Kambale na kibuaKambale hajawahi kunibariki kabisa

T 1990 ELY@ Chakorii
Kambale jinsi alivyo na kibua kwangu hajawahi kuwa na ladha hata nimtumbukize kwenye ndimuKwanini mkuu
Fresh tu mkuu vipi kheri ya sikukuuPoa niaje