Nuraty J
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 1,729
- 3,829
Wakuu habari, mí kwakweli huwa siipendi ccm,
Ila kuna kitu Magufuri amekifanya kwa upande wa ofisi za umma, sasaivi Kwenye ofisi za umma kama Dawasco au Tanesco urasimu ña kudharau wateja umepungua kabisa, kingine Dawasco kwa upande wa Daresalaam sijajua mikoani, kiukweli wanajitaidi, maeneo mfano kama kule kwetu KINZUDI, Goba, salasala, miaka yote kulikuwa ña tabú aswa Ya Maji, lakini leo kumesambazwa Maji Tena watu wameunganishiwa Kwa mkopo, kila sehemu, ktk ili la Dawasco ht Profesa Kitila mkumbo anastahili pongezi sana pia,
Wanaharibu Kwenye democracia ña uhuru wakujieleza tu ña baadhi Ya mengineyo
Ila kuna kitu Magufuri amekifanya kwa upande wa ofisi za umma, sasaivi Kwenye ofisi za umma kama Dawasco au Tanesco urasimu ña kudharau wateja umepungua kabisa, kingine Dawasco kwa upande wa Daresalaam sijajua mikoani, kiukweli wanajitaidi, maeneo mfano kama kule kwetu KINZUDI, Goba, salasala, miaka yote kulikuwa ña tabú aswa Ya Maji, lakini leo kumesambazwa Maji Tena watu wameunganishiwa Kwa mkopo, kila sehemu, ktk ili la Dawasco ht Profesa Kitila mkumbo anastahili pongezi sana pia,
Wanaharibu Kwenye democracia ña uhuru wakujieleza tu ña baadhi Ya mengineyo