M2baki
Senior Member
- Feb 25, 2013
- 174
- 309
Waulize wadada maana wao ndio wanapenda kununa nuna hovyoeti,naomba kuwauliza.
katika mahusiano,inachukua how long toka kuanza kununiana na mpenzi wako mpaka kuanza kusemeshana tena?
Maana naona week ya pili inakatika sasa na hakuna mwenye dalili ya kumtafuta mwenzie.
Daah. Mdogo wangu mnuno wako sio wa mchezo yaani unampikia mnakula ila bado mnuno upo lol.Mimi nikinuna nimpaka nibembelezwe, vinginevyoo haongei mtuuu hapa hata km tunapika na kupakua
Habari ndiyo hiyo tena na mnuno mbayaa, ila namuomba mungu niacheDaah. Mdogo wangu mnuno wako sio wa mchezo yaani unampikia mnakula ila bado mnuno upo lol.
Kweli kabisa mkuu na ikifikia huko hata haiwagi kazi kuelewana na maisha yakaendelea.mwisho wa mnuno ni kuacha kiburi,majivuno na jeuri kazi kwako mkuu
Bora uache tu mwaya.Habari ndiyo hiyo tena na mnuno mbayaa, ila namuomba mungu niache
Nashidwa, tatizo mi na madeko, nwpenda kweli kudeka lkn mtu qsiligindua hilo Anaweza sema na kiburiiBora uache tu mwaya.
Utaweza u popoz?Nakusubiri leo kule 'JF usiku wa manane'