mkuu hata mapenzi ni moja yapo ya viwanda " ukimiliki danguro si ushatoa ajira za kutosha
mkuu hata mapenzi ni moja yapo ya viwanda " ukimiliki danguro si ushatoa ajira za kutosha
kuchapiwa hakukwepeki na ubishi waoHaters Gonna hate lakini ujumbe umeshafika,
alafu uzuri wake sasa mtu akijidai kichwa ngumu ndo atazidi kuchapiwa
teh teh we unafikisha eenhSio wote bhana lol
hahahhhSista mwite shemeji huku aje kujifunza namna ya kupata power!
Kama toka aanze hajawahi kufika kileleni hicho kilele aamekijuaje sasa?kua hajawahi kukifika.kakudanganya bana.angekua amewahi kufika na baada ya hapo hajafikishwa tena tungemuelewa.ila hajawahi,sasa hicho kilele anakijuaje?muongo bana huyo.we mwambie kilele cha mapenzi alishafikishwa ila kilele cha mlima Kilimanjaro ndo bado hajafikaInasikitisha na kushangaza, unakutana na msichana wa miaka 28-30 anakwambia tangu aanze mapenzi akiwa na miaka 19 hakuna mwanaume yoyote amewahi kumfikisha kileleni. Imagine, anafanya mapenzi miaka karibu 10 lakini anatumika yeye tu, amekuwa sugu sasa na kilele pekee anachokijua ni cha Mlima Kilimanjaro, amekata tamaa kama kuna kitu kama hicho duniani.
Ukikutana na mwanamke wa namna hii ili umridhishe inapaswa kwanza uende Gym, ule siagi na jibini, dozi ya karanga na supu ya pweza wiki 2 umkeshee kisawasawa lakini unapaswa pia kumfanyia counselling ili aamini tena kwamba kilele sio Kibo na Mawenzi tu inataka Moyo.
WANAUME: Msiwafanyie hivyo wasichana, wapeni dozi inayostahili, ukipewa chezo kamua haswa, sio unakurupuka tu hueleweki unachofanya ni nini Robo saa unakoroma huo sio uanaume uanaume kazi, mnatupa shida tunakuja kuoa wanawake wamekomaa, hata utumie mwiko kilele hakionekani hata kwa darubini, ukipewa kazi itendee haki kazi kama hujui kukuna nazi waachie wakwezi.Girls wanapata shida sana, halafu we mtaani unajitamba kumbe huna lolote. Its not Fair
teh teh we unafikisha eenh
kweli wanafika hongera sanaKama uchawi ee,wote wanafika mpaka wengine wanatetemeka miguu wakienda bafuni..
Ofcoz hiyo ni njia bora ya kumfikisha kileleni lakini usikariri mkuu,Muandae mpenzi wako kisaikolojia atafika tu kileleni,sio lazima ugegede kama unalima mpunga,fore play is very important kumfikisha mwenzi uko kilele cha mt. Kill,..taratibu,
Fikiri upya juu ya sig. yako.kwani vipi mzee, viwanda huvitaki?
kweli wanafika hongera sana
kwani vipi mkuu, ebu anza na sig. yako basiFikiri upya juu ya sig. yako.
Ofcoz hiyo ni njia bora ya kumfikisha kileleni lakini usikariri mkuu,
kuna wanawake wamegawanyika katika makundi mawili hadi matatu, wapo wanaoenjoy game ya taratibu zile slow motion, na wapo wanaoenjoy mikito ya kwata la kijeda,
sasa kikubwa hapo ni kumsoma huyo dem anapenda nini, na uwe tayari kwa lolote utakalogundua
Hii kama inamake sense, lakini pia nyuzi za kutofikishwa kileleni bado zinaongezeka kila siku humu, kwahiyo hilo tatizo lipoKama toka aanze hajawahi kufika kileleni hicho kilele aamekijuaje sasa?kua hajawahi kukifika.kakudanganya bana.angekua amewahi kufika na baada ya hapo hajafikishwa tena tungemuelewa.ila hajawahi,sasa hicho kilele anakijuaje?muongo bana huyo.we mwambie kilele cha mapenzi alishafikishwa ila kilele cha mlima Kilimanjaro ndo bado hajafika