Kwenye hili CUF wanalo la kujifunza

Well said!

Kwenye hii marriage hakuna chochote Conservative walicho compromise in terms of election manifesto policies.Lib Dems become a lame duck kwenye hii marriage kila policy wamefuata za Tory-tution fee , spending cuts,AV systems e.t.c?

Je, Cuf supporters watakumbuka siku ya kupiga kura,their leaders decided to do it for themselves?

Kuna wapiga kura wengi hata hapa jukwaani ukiwauliza sera za uchaguzi za vyama vyao sasa hivi hawakumbuki,kwa sababu wapo busy na 2015 to repeat the same mistake.
Kwenye immigration pale naona wamecompromise hasa baada ya Vince Cable kuwa wazi kuwa kuzuia watu kwenda UK kutafanya wataalamu wakosekane.
Ila tatizo kwetu huwezi kuona kabisa tofauti ya CCM na CUF kule Zenji. Hakuna clear cut ya policy zao na wanaogopa kukosoana hadharani. Yaani Dr Shein kule anaongoza kama mteremko maana hakuna tena upinzani. Kama walivyochangia wengine, Zenji kwao adui ni muungano, wanasahau yapo mengine serikali imewasahaulisha kabisa. Yaani karata iliyochezwa ya udini bara, kwa Zenji ni muungano. Hivi hawana issues kabisa na wote wanasimamia mambo yanayofanana au utendaji umeimarika hauhitaji upinzani?
 
Kwenye immigration pale naona wamecompromise hasa baada ya Vince Cable kuwa wazi kuwa kuzuia watu kwenda UK kutafanya wataalamu wakosekane.
Ila tatizo kwetu huwezi kuona kabisa tofauti ya CCM na CUF kule Zenji. Hakuna clear cut ya policy zao na wanaogopa kukosoana hadharani. Yaani Dr Shein kule anaongoza kama mteremko maana hakuna tena upinzani. Kama walivyochangia wengine, Zenji kwao adui ni muungano, wanasahau yapo mengine serikali imewasahaulisha kabisa. Yaani karata iliyochezwa ya udini bara, kwa Zenji ni muungano. Hivi hawana issues kabisa na wote wanasimamia mambo yanayofanana au utendaji umeimarika hauhitaji upinzani?

Naamini wewe ni Mzanzibari kwa jinsi unavyoonekana, hebu ona michango ya Wazanzibari wenzako hata kwenye thread hii tu ilivyotofauti. Wewe umeiona hatari inayoikabili CUF na jinsi Zanzibar taratibu inavyojiondoa kwenye mfumo wa vyama vingi, wengine wameshachukuliwa mateka na kuimba wimbo wa CDM ni adui. Thread hii haizungumzii CDM wala Muungano, inazungumzia hatari inayoikabili CUF kama chama cha siasa na hatari ya Zanzibar kurudi katika mfumo wa chama kimoja.
Kwa maoni yangu CUF pamoja na kutafuta uhali wa ndoa yao kuwa ni mateso, walitakiwa kusubiri. Wangetafuta namna nyingine ya kuepusha shari, labda kuwasihi wananchi wayakubali matokeo na namna kama hiyo kwa sababu hawawezi kudhulumiwa milele, hawawezi kuibiwa milele. Iko siku ingepatikana njia sahihi ya kuleta ushindani wa kweli, na inawezekana wala haikuwa mbali. Kwa uroho wa baadhi ya viongozi wa kutamani heshima ndio CUF inakwenda hivyo. Kuna mtu alisema CUF inakufa pamoja na CCM, kwa maoni yangu CUF inatangulia kwani haina wa kuiokoa katika hali ya sasa.
 
CUF wamejipaka kinyesi cha CCM, kwa kukubali kuunda serikari ya mseto na chama ambacho tunasubili kukizika soon, hivyo CUF will definetly go down with ccm hamna jinsi, ndo maana wanatumia nguvu kubwa sana ndani ya bunge na nje ya bunge kuhakikisha wanawatetea na kusafisha kinyesi cha wanandoa wenzao, ni hiyo ndo wananchi wamewastukia kuwa hawa CUF ni watu wa maslahi tu! hilo jiti halichomoki, vyama vya siasa vilivyokomaa husubiri kwani subira huvuta kheri lakini maalimu Seif alitaka afaidi matunda ya kuwa makamo wa raisi asiekuwa na kazi wala mamlaka yoyote na kuwasaliti mashujaa waliopoteza maisha yao kupambana kuindoa ccm madarakani ili watoto wao wasifungwe nira na huyu mkoloni mweusi. Mshahara wa wasaliti ni mauti, hivyo CCM will pull down CUF to the grave haihitaji darubini kali kuling'amua hilo.

Hayo ni maoni yako, wenyewe hatuoni hivyo/
 
Naamini wewe ni Mzanzibari kwa jinsi unavyoonekana, hebu ona michango ya Wazanzibari wenzako hata kwenye thread hii tu ilivyotofauti. Wewe umeiona hatari inayoikabili CUF na jinsi Zanzibar taratibu inavyojiondoa kwenye mfumo wa vyama vingi, wengine wameshachukuliwa mateka na kuimba wimbo wa CDM ni adui. Thread hii haizungumzii CDM wala Muungano, inazungumzia hatari inayoikabili CUF kama chama cha siasa na hatari ya Zanzibar kurudi katika mfumo wa chama kimoja.<br />
Kwa maoni yangu CUF pamoja na kutafuta uhali wa ndoa yao kuwa ni mateso, walitakiwa kusubiri. Wangetafuta namna nyingine ya kuepusha shari, labda kuwasihi wananchi wayakubali matokeo na namna kama hiyo kwa sababu hawawezi kudhulumiwa milele, hawawezi kuibiwa milele. Iko siku ingepatikana njia sahihi ya kuleta ushindani wa kweli, na inawezekana wala haikuwa mbali. Kwa uroho wa baadhi ya viongozi wa kutamani heshima ndio CUF inakwenda hivyo. Kuna mtu alisema CUF inakufa pamoja na CCM, kwa maoni yangu CUF inatangulia kwani haina wa kuiokoa katika hali ya sasa.
<br />
<br />
Labda kuwasaidia CUF, ni kuwa wangeamua kutenganisha nafasi za watu kwa kuona kuwa walipo kwenye serikali ya Kitaifa waendelee kubaki huko na serikali wabaki na vyema kama wajumbe wa kamati kuu halafu watafute katibu na watu wengine watakaofanya kazi ya kujenga chama chao. Chama kinakufa maana katibu ni makamu wa Rais. Wanatakiwa waendeleze harakati zao za kisiasa vinginevyo yatakuwa majuto. Hivi leo tukiwauliza wamefanya nn toka uchaguzi, watasemaje?
 
<br />
<br />
Labda kuwasaidia CUF, ni kuwa wangeamua kutenganisha nafasi za watu kwa kuona kuwa walipo kwenye serikali ya Kitaifa waendelee kubaki huko na serikali wabaki na vyema kama wajumbe wa kamati kuu halafu watafute katibu na watu wengine watakaofanya kazi ya kujenga chama chao. Chama kinakufa maana katibu ni makamu wa Rais. Wanatakiwa waendeleze harakati zao za kisiasa vinginevyo yatakuwa majuto. Hivi leo tukiwauliza wamefanya nn toka uchaguzi, watasemaje?

Kazi za Chama anafanya Jussa Mkuu. CUF labda huko bara lakini kwa Zanzibar kufa ni muhali.
 
Kazi za Chama anafanya Jussa Mkuu. CUF labda huko bara lakini kwa Zanzibar kufa ni muhali.
<br />
<br />
enh hivi kikifa bara kitaendelea kuwa chama zenji au ndio kitakuwa kimezikwa kazimakizima. Yaani unamtaja Jussa peke yake, hivi unadhani kupamba na siasa za hivi vyma Jussa anatosha. Ndio maana wako kimya. Wasipoweza kurekebisha strategy na kujipambanua malengo yao hasa ni nini 2015 asilimia za kura zitapungua kabisa. Wafikishie salamu wajitofautishe vinginevyo wananchi watawatofautisha.
 
Back
Top Bottom