Kwenye Auditing hoja hujibiwa kabla ya report au Baada? Msaada pls

Kwenye Auditing hoja hujibiwa kabla ya report au Baada? Msaada pls

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2020
Posts
5,496
Reaction score
14,113
Wakuu kwa uelewa wangu mdogo mno wanapo kuja kufanya ukaguzi, na wakagundua kasolo kadhaa, huwa wanatoa muda wahisika waonyeshe Documents zinazo miss na kama wakizionyesha basi Auditor hu clear na wakishindwa basi kitu huenda kutolewa kama kilivyo.

Sasa kwa nini hoja za CAG zijibiwe baada ya report kutoka wakati kabla report haijatoka huwa kuna muda wa kuwasilisha vielelezo?

Report kutoka maana yake wahusika walishindwa kuwakilisha vielelezo husika sasa how come waviwasilishe sasa baada ya report kutoka?

Huku sio kutaka kupingana na report ambayo ni ya kitalamu na ina viwango kabisa vya IMF na World Bank?
 
Hapo kuna Hoja zilikosa majibu na nyingine majibu hayakujitosheleza na kwa mujibu wa sheria CAG haruhusiwi kufanya maamuzi yoyote ila bunge ndio huielekeza serikali hatua za kuchukua!
Sio hivyo
 
Hapo kuna Hoja zilikosa majibu na nyingine majibu hayakujitosheleza na kwa mujibu wa sheria CAG haruhusiwi kufanya maamuzi yoyote ila bunge ndio huielekeza serikali hatua za kuchukua!
Nilisikia bunge ndo la mwisho kutoa suggestions ila ni mpaka kitu kama mwezi wa 9 huko nahisi...
 
Hoja zilizojibiwa na ambazo hazikujibiwa nadhani zote zinakuwepo kwenye ripoti
Hapana hoja zikijibiwa zina kuwa cleared na zinatolewa kabla report haijatoka, make unakita labda receipt ina miss na iko labda Kigoma na Muhsika yuko Dar inabidi faster afanye juu chini ije na kweli ikija na wakaonyesha basi wana clear,

Report hadi itokea ni kwamba hakuna vielelezo kokote kule
 
Yeap ngoja tungojee....Ila rais anapata tension kubwa kutoka kwa washauri na kama anafuatilia mijadala ya mitandaoni ndo kabisa inamsukuma kufanya maamuzi ya haraka.
Hapa Jf pressure ni kubwa sana na Viongozi wote wapo hapa naamini maamuzi yatachukuliwa mapema
 
Wakuu kwa uelewa wangu mdogo mno wanapo kuja kufanya ukaguzi, na wakagundua kasolo kadhaa, huwa wanatoa muda wahisika waonyeshe Documents zinazo miss na kama wakizionyesha basi Auditor hu clear na wakishindwa basi kitu huenda kutolewa kama kilivyo.

Sasa kwa nini hoja za CAG zijibiwe baada ya report kutoka wakati kabla report haijatoka huwa kuna muda wa kuwasilisha vielelezo?

Report kutoka maana yake wahusika walishindwa kuwakilisha vielelezo husika sasa how come waviwasilishe sasa baada ya report kutoka?

Huku sio kutaka kupingana na report ambayo ni ya kitalamu na ina viwango kabisa vya IMF na World Bank?
Usibwatuke mambo kabla ya kuyajuaa
Nimefanya kazi local government zaid ya miaka name. Niliacha kwa sababu ya ujinga na siasa. Ipo hivi mkifanya activity mna mandate yote ya hao watu baada ya kukamilisha una submit documents siyo lazima sana. Anachokifanya CÀG Ni cu very fy
 
Hapana hoja zikijibiwa zina kuwa cleared na zinatolewa kabla report haijatoka, make unakita labda receipt ina miss na iko labda Kigoma na Muhsika yuko Dar inabidi faster afanye juu chini ije na kweli ikija na wakaonyesha basi wana clear,

Report hadi itokea ni kwamba hakuna vielelezo kokote kule
Kila kilichofanywa na serikali in performance , moderate or under performance kipo ndani ya RIPOTI. RIPOTI ya CAG ni ripoti ya UFANISI wa yote yaliofanywa na serikali Kwa kipindi cha mwaka wa fedha
 
Nenda kwenye tovuti ya NAOT Kuna ripoti nyingi tuuu zinaeleza Kila kilichofanywa na serikali isipokuwa zile za idara maalum.
 
Back
Top Bottom