miles45
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 3,468
- 8,287
Habari kwenu!
Ni kwamba Kama katika maisha ya mwanaume ukiona kakuchukua na kakuweka ndani Kama mke Basi tulia na ujue kajiridhisha kuwa wewe ni mwanamke Bora na sahihi kwake na familia yake.
Hii tabia ya kufanywa mke unaacha majukumu yako ya uku unajipa kazi ya u FBI kuanza kumchunguza utafikiri anauza madawa ya kulevya kuna siku utapigwa na kitu na hauta jua ufanye nini.
Fanya hivyo endapo unamtafutia sababu ya kuachana ila kama unatafuta sababu ya kujenga ndoa yako jiweke mbali na vitu ambavyo hajataka uvione ikiwemo simu.
Nakuambia siku utakayo kuta meseji au picha kwenye simu ya mumeo itakayo kuumiza kaa ukijua hauta pona kamwe ndio utakua mwanzo wa maumivu yako na kuharibikiwa kwako na familia yako. Trust me hauta pona kamwe.
Simu ya mumeo achana nayo fanya yako hayo hayakuhusu yatakuumiza maisha yako na utaumia haswa na hauta jua ufanye nini?
Kuna wimbi kubwa la wanawake wamejikuta wanaishia kwenye umalaya kisa tu walisoma meseji na kuwa disappointed kwa walio yakuta na kuishia kuharibu familia zao.
NB: Kama mmeo anajari familia na wewe mwenyewe inatosha Sana wewe kuwa na furaha na kuimarisha familia yako.
Jifanye mbishi Ila trust me utaumia,utalia na hauta pona kamwe.
Ni kwamba Kama katika maisha ya mwanaume ukiona kakuchukua na kakuweka ndani Kama mke Basi tulia na ujue kajiridhisha kuwa wewe ni mwanamke Bora na sahihi kwake na familia yake.
Hii tabia ya kufanywa mke unaacha majukumu yako ya uku unajipa kazi ya u FBI kuanza kumchunguza utafikiri anauza madawa ya kulevya kuna siku utapigwa na kitu na hauta jua ufanye nini.
Fanya hivyo endapo unamtafutia sababu ya kuachana ila kama unatafuta sababu ya kujenga ndoa yako jiweke mbali na vitu ambavyo hajataka uvione ikiwemo simu.
Nakuambia siku utakayo kuta meseji au picha kwenye simu ya mumeo itakayo kuumiza kaa ukijua hauta pona kamwe ndio utakua mwanzo wa maumivu yako na kuharibikiwa kwako na familia yako. Trust me hauta pona kamwe.
Simu ya mumeo achana nayo fanya yako hayo hayakuhusu yatakuumiza maisha yako na utaumia haswa na hauta jua ufanye nini?
Kuna wimbi kubwa la wanawake wamejikuta wanaishia kwenye umalaya kisa tu walisoma meseji na kuwa disappointed kwa walio yakuta na kuishia kuharibu familia zao.
NB: Kama mmeo anajari familia na wewe mwenyewe inatosha Sana wewe kuwa na furaha na kuimarisha familia yako.
Jifanye mbishi Ila trust me utaumia,utalia na hauta pona kamwe.