Kwenu wanawake/ akina mama

Sema kwa suala la kutesa wadada wa kazi..wanawake mnaongoza aisee..siongelei kuua....kama vipigo na matusi na kunyanyaswa hawa dada wanapitia sana..sema ndo hivyo....
Hata huyu huyu dada asingefariki angeendelea tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmelizungumzia wapi hili swala??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh
 
Wapi wamelizungumzia hilo swala ??
Taasisi gani ??
Tuwekee Link tuone wenyewe ??

 
Usipanic, huo ndiyo ukweli! Hao akina wapigania haki za wanawake mbona wamemute?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…