Ray waniache
JF-Expert Member
- Jan 25, 2017
- 737
- 507
Eti unajiua kunywa sumu au kujidhuru kisa mapenzi looooh unachekesha kweli ww
Nikiangalia mji wa dar es sallam ulivyojaa mahendsome na mabeutiful eti wewe kinyago unifanye nilie khaaaa
Wanasema kila kijiti na utamu wake hapa dar kila mtaa una mahb na macute tena wapo mamilioni nchi hii eti ww unipe shida
Nizaliwe mwenyewe halafu nijiue kisa mtu au kujidhuru
Hakyamungu kuachwa kupo au kuachana na mtu au kumwacha mtu kwa 7bu maalum ila sio kujidhuru au kukondea mwili kisa mtu
Poleni mnaojiua na kujidhuru kisa mapenzi mwenzenu hiyo habari sina ukinishinda pita hivi wazuri wamejaa kibao swagga zako tu
Watu wengi hamjuagi tu kuwa mapenzi kila siku yanazaliwa upya
Soln nzur ya kupata brand new unayoipenda more than yule uliyeachana nae ni kumove yaani nenda sehemu tofaut na ile unayoishi utampata tu maana kila mtaa una madini hahahaha
Mapenzi mema
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikiangalia mji wa dar es sallam ulivyojaa mahendsome na mabeutiful eti wewe kinyago unifanye nilie khaaaa
Wanasema kila kijiti na utamu wake hapa dar kila mtaa una mahb na macute tena wapo mamilioni nchi hii eti ww unipe shida
Nizaliwe mwenyewe halafu nijiue kisa mtu au kujidhuru
Hakyamungu kuachwa kupo au kuachana na mtu au kumwacha mtu kwa 7bu maalum ila sio kujidhuru au kukondea mwili kisa mtu
Poleni mnaojiua na kujidhuru kisa mapenzi mwenzenu hiyo habari sina ukinishinda pita hivi wazuri wamejaa kibao swagga zako tu
Watu wengi hamjuagi tu kuwa mapenzi kila siku yanazaliwa upya
Soln nzur ya kupata brand new unayoipenda more than yule uliyeachana nae ni kumove yaani nenda sehemu tofaut na ile unayoishi utampata tu maana kila mtaa una madini hahahaha
Mapenzi mema
Sent using Jamii Forums mobile app