Kwenu Management ya 'Mlimani City' - Fungeni CCTV Cameras kwenye parking et al

Shadow

JF-Expert Member
May 19, 2008
2,897
671
Angalizo: Fungeni CCTV kwenye parking lot and common areas. Wizi kama huu hapo chini kwenye picha inaharibu dhana nzima ya kuwa na 'malls'. Wapeni wateja wenu imani ya usalama kwani mteja ni mfalme.

Hili tukio lingeweza kukamatwa na CCTV cameras:

Theft.JPG
 
Kampuni ya Security iliyowekwa pale sijui MINT MASTERS... Inaonekana kama ya mfukoni... Wamezoea kuwadaka Shoplifters pale Shoprite... Ila mtandao wa wezi pale MLIMANI CITY ni mkubwa mno... Na kuna mtoto wa kigogo mmoja (Jina kapuni) anahusika... Kwanini kusiwe na CCTV cameras...???
 
Kampuni ya Security iliyowekwa pale sijui MINT MASTERS... Inaonekana kama ya mfukoni... Wamezoea kuwadaka Shoplifters pale Shoprite... Ila mtandao wa wezi pale MLIMANI CITY ni mkubwa mno... Na kuna mtoto wa kigogo mmoja (Jina kapuni) anahusika... Kwanini kusiwe na CCTV cameras...???

Mtaje tu, we dare talk openly hapa. Kama hukutaka kumtaja usingesema kabisa.
 
Ni either wanapuuzia haiwezekani kila siku watu wanalalamika halafu you dont take any actions na kuwajibu watu kuwa hatuhusiki na uliniz wa gari lako inakera sana wakati unakuta mtu uko ndani ya compound ya mlimani city tukio linatokea mule mule ndani lakini watu wanapuuzia hiyo inakufanya mtu ufikirie kuwa they are among the thieves.
 
Surveillance cameras haziwezi kuzuia wizi. Wanachotakiwa kufanya ni kuongeza na kuimarisha ulinzi muda wote ambao wako wazi. Bila presence ya walinzi hata wafunge cameras 1000 bado wezi wataendelea kutesa tu kwani cameras sio deterrence ya uhalifu.

If they are serious about the safety and security of their patrons then they need to beef up their security presence. Only beefed up security presence can deter would be robbers.
 
walinzi wa pale kazi kuzuia bajaji tu zisiingie ndani securty pale ni zerooo kabisa
 
Surveillance cameras haziwezi kuzuia wizi. Wanachotakiwa kufanya ni kuongeza na kuimarisha ulinzi muda wote ambao wako wazi. Bila presence ya walinzi hata wafunge cameras 1000 bado wezi wataendelea kutesa tu kwani cameras sio deterrence ya uhalifu.

If they are serious about the safety and security of their patrons then they need to beef up their security presence. Only beefed up security presence can deter would be robbers.

Nafikiri unaweza kuwa na camera na commanding center na ukiwa na askari wachache unaowalipa vizuri ni bora zaidi kuliko hilo wazo la kudeploy askari kibao , malipo mabovu etc. kwani mwisho wa siku kama unakamera inamaanisha hao watu tunaweza kuwafuatilia na kuwapeleka kortini na kushtakiwa kwa mujibu wa sheria. Leo ni vibaka kesho inaweza kuwa uharifu mkuwa zaidi. Nyani Ngabu mfano ni malls za huko unyamwezini aka U.S.
 
Mtaje bwana unaogopa nini?
kampuni ya security iliyowekwa pale sijui mint masters... Inaonekana kama ya mfukoni... Wamezoea kuwadaka shoplifters pale shoprite... Ila mtandao wa wezi pale mlimani city ni mkubwa mno... Na kuna mtoto wa kigogo mmoja (jina kapuni) anahusika... Kwanini kusiwe na cctv cameras...???
 
Natumaini management ya hapo mlimani wataweza kulifanyia kazi.
 
Huwa na park mbele kabisa pale Samaki Samaki na ninamshikisha dogo 500! Kisisogelee hata kifaranga (not Kiranga) gari la Mchungaji! Askari ni kundi moja na wezi!
 
Nafikiri unaweza kuwa na camera na commanding center na ukiwa na askari wachache unaowalipa vizuri ni bora zaidi kuliko hilo wazo la kudeploy askari kibao , malipo mabovu etc. kwani mwisho wa siku kama unakamera inamaanisha hao watu tunaweza kuwafuatilia na kuwapeleka kortini na kushtakiwa kwa mujibu wa sheria. Leo ni vibaka kesho inaweza kuwa uharifu mkuwa zaidi. Nyani Ngabu mfano ni malls za huko unyamwezini aka U.S.

Lakini kamera hazizuii wizi. Au kwani kipaumbele hapa ni nini? Kuzuia wizi usitokee au kuwa na ushahidi usiopingika utakaokuwezesha kushinda kesi mahakamani?
 
Nafikiri unaweza kuwa na camera na commanding center na ukiwa na askari wachache unaowalipa vizuri ni bora zaidi kuliko hilo wazo la kudeploy askari kibao , malipo mabovu etc. kwani mwisho wa siku kama unakamera inamaanisha hao watu tunaweza kuwafuatilia na kuwapeleka kortini na kushtakiwa kwa mujibu wa sheria. Leo ni vibaka kesho inaweza kuwa uharifu mkuwa zaidi. Nyani Ngabu mfano ni malls za huko unyamwezini aka U.S.

Yaaap, unawanunulia quads or bicycles wachache wanakuwa wanapatrol simple!!!
 
Huwa na park mbele kabisa pale Samaki Samaki na ninamshikisha dogo 500! Kisisogelee hata kifaranga (not Kiranga) gari la Mchungaji! Askari ni kundi moja na wezi!

Masa, safi sana lakini sasa tunatakiwa tuwe huru na hizo informal tips zinachakachua mfumo mzima wa kufanya manunuzi hapo mlimani site
 
Lakini kamera hazizuii wizi. Au kwani kipaumbele hapa ni nini? Kuzuia wizi usitokee au kuwa na ushahidi usiopingika utakaokuwezesha kushinda kesi mahakamani?

ilo ni moja si unajua masuala ya 'fragranto delicto' hayo, la pili, ukiwa na jamaa wachache tuchukulie mfano wako mia na wanalipwa elfu 40 basi weka 20 na walipe laki 2 na kukiwa na masurufu kibao hapo hutaona tofauti inatokea.
 
ilo ni moja si unajua masuala ya 'fragranto delicto' hayo, la pili, ukiwa na jamaa wachache tuchukulie mfano wako mia na wanalipwa elfu 40 basi weka 20 na walipe laki 2 na kukiwa na masurufu kibao hapo hutaona tofauti inatokea.

Kwangu kinga ni bora kuliko tiba.
 
kazi yao kubwa wale walinzi ni kuangalia kama wakati wa kutoka getini huna kadi au umeiangusha sehemu sasa kwao inakuwa ni dili kubwa ya kujipatia hela
 
Angalizo: Fungeni CCTV kwenye parking lot and common areas. Wizi kama huu hapo chini kwenye picha inaharibu dhana nzima ya kuwa na 'malls'. Wapeni wateja wenu imani ya usalama kwani mteja ni mfalme.

Hili tukio lingeweza kukamatwa na CCTV cameras:

Theft.JPG


acheni hizo nyie sasa watu watakula wapi na wengi wanaoathirka na hili wale wanaoenda kunywa pale sehemu sehemu...unajua we weka alarm sauti kubwa wanakimbia usisubiri CCTV mjini wanakuwekea CCTV?? so jaribu kujilinda mwenyewe pole sana hayo ni matokeo ya wizi wa kichina watanzania atukujua kama ako kadirisha kanafunguka kirahisi hivi
 
Back
Top Bottom