Tetesi: Hadhi (status) ya VODACOM imeshuka hapa nchini. Wanahama kutoka Mlimani City kwenda Kinondoni

akatubwada

Member
Feb 7, 2017
21
26
  • VODACOM walifika hapa mwaka 2000 wakiwa hawana mteja hata mmoja na kwa mtaji wao wakapanga kwenye jengo lenye status kuliko majengo yote hapa nchini likiitwa PPF Tower lililoko kwenye kona ya mtaa wa Ohio na Garden.
  • Humo PPF Tower walichukua floor si chini ya nne.

  • Mwaka 2009 wakaweza kuongeza jengo jingine kule barabara ya Ali Hassan Mwinyi karibu na kituo cha mafuta cha Victoria, jengo linaitwa RDK. Hili lilikuwa ni jengo la ziada kwani makao makuu yalibaki palepale PPF Tower.

  • Pale Mwanza wakapanga PPF Plaza nalo lina hadhi Mwanza nzima. Hata kule Arusha hawakuchukua eneo au jengo
    la kichovu.

  • MLIMANI CITY MALL imeanzishwa mwaka 2006 mwishoni ikiwa ni supermarket yenye hadhi kubwa si Tanzania tu bali Afrika Mashariki.

  • Katika majengo manne ya pale MLIMANI CITY PARK, TANZANIA INVESTMENT BANK ndiyo imechukuajengo moja tu (Building 3) lakini mengine yote matatu yaliyobaki (Building 1, 2 and 4) yalichukuliwa na VODA mwaka 2010 mwishoni na wamo humo hadi dakika hii.

  • Sasa kuna tetesi kwamba VODACOM wanahama sehemu nzuri kuliko zote yaani MLIMANI CITY wanaendamaeneo ya KINONDONI ingawa sijathibitisha tetesi hizo!

  • Ukweli ni kwamba kadiri binadamu unavyobadili “lifestyle” basi na status yako itaonekana. Walipohama PPFTOWER kwenda MLIMANI CITY, hapa status iliongezeka.

  • Leo wanahama kutoka MLIMANI CITY kwenda KINONDONI, haya ni maeneo mawili tofauti kabisa kihadhi.

  • Mlimani CITY VODA ilikuwa imechukua parking karibu eneo loote lile mnalojua linalotazamana na barabara yaSAM NUJOMA. Kinondoni ni eneo linalojulikana kwa ukosefu wa Parking .

  • Bila ubishi hapa hadhi imeshuka,maana yake waendesha magari ndani ya VODA wamepungua, bila kujali ni magari yao au ya kampuni.

  • Sasa tujadili ilichobadilika ni hadhi ya sasa ya VODA. Wakati VODA inapanga vile tangu PPF TOWER na baadaye wakaenda MLIMANI CITY management walikuwepo wazungu.

  • Sasa hivi kwenye management ukiangalia asili ya wahindi imeongezeka na bosi wao mkubwa unaona kama ni mhindi vilevile.

  • Ukweli ni kwamba yapo mengi ya kuonyesha kwamba hadhi inashuka, unaweza kuongezea unayoona wewe.

  • Na kama hadhi imepanda unaweza kunipinga.
 
  • VODACOM walifika hapa mwaka 2000 wakiwa hawana mteja hata mmoja na kwa mtaji wao wakapanga kwenye jengo lenye status kuliko majengo yote hapa nchini likiitwa PPF Tower lililoko kwenye kona ya mtaa wa Ohio na Garden.
  • Humo PPF Tower walichukua floor si chini ya nne.

  • Mwaka 2009 wakaweza kuongeza jengo jingine kule barabara ya Ali Hassan Mwinyi karibu na kituo cha mafuta cha Victoria, jengo linaitwa RDK. Hili lilikuwa ni jengo la ziada kwani makao makuu yalibaki palepale PPF Tower.

  • Pale Mwanza wakapanga PPF Plaza nalo lina hadhi Mwanza nzima. Hata kule Arusha hawakuchukua eneo au jengo
    la kichovu.

  • MLIMANI CITY MALL imeanzishwa mwaka 2006 mwishoni ikiwa ni supermarket yenye hadhi kubwa si Tanzania tu bali Afrika Mashariki.

  • Katika majengo manne ya pale MLIMANI CITY PARK, TANZANIA INVESTMENT BANK ndiyo imechukuajengo moja tu (Building 3) lakini mengine yote matatu yaliyobaki (Building 1, 2 and 4) yalichukuliwa na VODA mwaka 2010 mwishoni na wamo humo hadi dakika hii.

  • Sasa kuna tetesi kwamba VODACOM wanahama sehemu nzuri kuliko zote yaani MLIMANI CITY wanaendamaeneo ya KINONDONI ingawa sijathibitisha tetesi hizo!

  • Ukweli ni kwamba kadiri binadamu unavyobadili “lifestyle” basi na status yako itaonekana. Walipohama PPFTOWER kwenda MLIMANI CITY, hapa status iliongezeka.

  • Leo wanahama kutoka MLIMANI CITY kwenda KINONDONI, haya ni maeneo mawili tofauti kabisa kihadhi.

  • Mlimani CITY VODA ilikuwa imechukua parking karibu eneo loote lile mnalojua linalotazamana na barabara yaSAM NUJOMA. Kinondoni ni eneo linalojulikana kwa ukosefu wa Parking .

  • Bila ubishi hapa hadhi imeshuka,maana yake waendesha magari ndani ya VODA wamepungua, bila kujali ni magari yao au ya kampuni.

  • Sasa tujadili ilichobadilika ni hadhi ya sasa ya VODA. Wakati VODA inapanga vile tangu PPF TOWER na baadaye wakaenda MLIMANI CITY management walikuwepo wazungu.

  • Sasa hivi kwenye management ukiangalia asili ya wahindi imeongezeka na bosi wao mkubwa unaona kama ni mhindi vilevile.

  • Ukweli ni kwamba yapo mengi ya kuonyesha kwamba hadhi inashuka, unaweza kuongezea unayoona wewe.

  • Na kama hadhi imepanda unaweza kunipinga.
So kwa Maelezo yako unataka kusema Management ya Wahindi ni Ishara ya Kufilisika ama.
  • VODACOM walifika hapa mwaka 2000 wakiwa hawana mteja hata mmoja na kwa mtaji wao wakapanga kwenye jengo lenye status kuliko majengo yote hapa nchini likiitwa PPF Tower lililoko kwenye kona ya mtaa wa Ohio na Garden.
  • Humo PPF Tower walichukua floor si chini ya nne.

  • Mwaka 2009 wakaweza kuongeza jengo jingine kule barabara ya Ali Hassan Mwinyi karibu na kituo cha mafuta cha Victoria, jengo linaitwa RDK. Hili lilikuwa ni jengo la ziada kwani makao makuu yalibaki palepale PPF Tower.

  • Pale Mwanza wakapanga PPF Plaza nalo lina hadhi Mwanza nzima. Hata kule Arusha hawakuchukua eneo au jengo
    la kichovu.

  • MLIMANI CITY MALL imeanzishwa mwaka 2006 mwishoni ikiwa ni supermarket yenye hadhi kubwa si Tanzania tu bali Afrika Mashariki.

  • Katika majengo manne ya pale MLIMANI CITY PARK, TANZANIA INVESTMENT BANK ndiyo imechukuajengo moja tu (Building 3) lakini mengine yote matatu yaliyobaki (Building 1, 2 and 4) yalichukuliwa na VODA mwaka 2010 mwishoni na wamo humo hadi dakika hii.

  • Sasa kuna tetesi kwamba VODACOM wanahama sehemu nzuri kuliko zote yaani MLIMANI CITY wanaendamaeneo ya KINONDONI ingawa sijathibitisha tetesi hizo!

  • Ukweli ni kwamba kadiri binadamu unavyobadili “lifestyle” basi na status yako itaonekana. Walipohama PPFTOWER kwenda MLIMANI CITY, hapa status iliongezeka.

  • Leo wanahama kutoka MLIMANI CITY kwenda KINONDONI, haya ni maeneo mawili tofauti kabisa kihadhi.

  • Mlimani CITY VODA ilikuwa imechukua parking karibu eneo loote lile mnalojua linalotazamana na barabara yaSAM NUJOMA. Kinondoni ni eneo linalojulikana kwa ukosefu wa Parking .

  • Bila ubishi hapa hadhi imeshuka,maana yake waendesha magari ndani ya VODA wamepungua, bila kujali ni magari yao au ya kampuni.

  • Sasa tujadili ilichobadilika ni hadhi ya sasa ya VODA. Wakati VODA inapanga vile tangu PPF TOWER na baadaye wakaenda MLIMANI CITY management walikuwepo wazungu.

  • Sasa hivi kwenye management ukiangalia asili ya wahindi imeongezeka na bosi wao mkubwa unaona kama ni mhindi vilevile.

  • Ukweli ni kwamba yapo mengi ya kuonyesha kwamba hadhi inashuka, unaweza kuongezea unayoona wewe.

  • Na kama hadhi imepanda unaweza kunipinga.
 
  • VODACOM walifika hapa mwaka 2000 wakiwa hawana mteja hata mmoja na kwa mtaji wao wakapanga kwenye jengo lenye status kuliko majengo yote hapa nchini likiitwa PPF Tower lililoko kwenye kona ya mtaa wa Ohio na Garden.
  • Humo PPF Tower walichukua floor si chini ya nne.

  • Mwaka 2009 wakaweza kuongeza jengo jingine kule barabara ya Ali Hassan Mwinyi karibu na kituo cha mafuta cha Victoria, jengo linaitwa RDK. Hili lilikuwa ni jengo la ziada kwani makao makuu yalibaki palepale PPF Tower.

  • Pale Mwanza wakapanga PPF Plaza nalo lina hadhi Mwanza nzima. Hata kule Arusha hawakuchukua eneo au jengo
    la kichovu.

  • MLIMANI CITY MALL imeanzishwa mwaka 2006 mwishoni ikiwa ni supermarket yenye hadhi kubwa si Tanzania tu bali Afrika Mashariki.

  • Katika majengo manne ya pale MLIMANI CITY PARK, TANZANIA INVESTMENT BANK ndiyo imechukuajengo moja tu (Building 3) lakini mengine yote matatu yaliyobaki (Building 1, 2 and 4) yalichukuliwa na VODA mwaka 2010 mwishoni na wamo humo hadi dakika hii.

  • Sasa kuna tetesi kwamba VODACOM wanahama sehemu nzuri kuliko zote yaani MLIMANI CITY wanaendamaeneo ya KINONDONI ingawa sijathibitisha tetesi hizo!

  • Ukweli ni kwamba kadiri binadamu unavyobadili “lifestyle” basi na status yako itaonekana. Walipohama PPFTOWER kwenda MLIMANI CITY, hapa status iliongezeka.

  • Leo wanahama kutoka MLIMANI CITY kwenda KINONDONI, haya ni maeneo mawili tofauti kabisa kihadhi.

  • Mlimani CITY VODA ilikuwa imechukua parking karibu eneo loote lile mnalojua linalotazamana na barabara yaSAM NUJOMA. Kinondoni ni eneo linalojulikana kwa ukosefu wa Parking .

  • Bila ubishi hapa hadhi imeshuka,maana yake waendesha magari ndani ya VODA wamepungua, bila kujali ni magari yao au ya kampuni.

  • Sasa tujadili ilichobadilika ni hadhi ya sasa ya VODA. Wakati VODA inapanga vile tangu PPF TOWER na baadaye wakaenda MLIMANI CITY management walikuwepo wazungu.

  • Sasa hivi kwenye management ukiangalia asili ya wahindi imeongezeka na bosi wao mkubwa unaona kama ni mhindi vilevile.

  • Ukweli ni kwamba yapo mengi ya kuonyesha kwamba hadhi inashuka, unaweza kuongezea unayoona wewe.

  • Na kama hadhi imepanda unaweza kunipinga.
Chezeaa kodii njooonaa wafanyakazii wanavyojiuza sinza usikundioo ujue kodikonyo
 
Ukitembee nchi hii ndo utajua nguvu ya voda......ndg majengo yote makubwa ya kisasa yanakuwa na parking kuanzia underground,ground,1,2.....kuna nchi tajiri lakini zinakodi majengo ya ubalozi......kila kampuni Ina mkakati wake ndg!!
 
Kampuni kubwa kama VODACOM wameshindwa kujenga jengo lao wenyewe mpaka wapange kila siku? Wanapeleka wapi hela zetu?

ha ha ha ukikuwa utaelewa... voda ajenge umesikia ni mtanzania yule.. amekuja kuchuma.. kwanza africa hapaaminiki unaweza ukajenga siku mbili vita vya wenyewe kwa wenyewe...

makampuni ya wazungu au wageni huwa wanapanga tu.. na ni wajanja sababu kupunguza capex zinazoepukika
 
  • VODACOM walifika hapa mwaka 2000 wakiwa hawana mteja hata mmoja na kwa mtaji wao wakapanga kwenye jengo lenye status kuliko majengo yote hapa nchini likiitwa PPF Tower lililoko kwenye kona ya mtaa wa Ohio na Garden.
  • Humo PPF Tower walichukua floor si chini ya nne.

  • Mwaka 2009 wakaweza kuongeza jengo jingine kule barabara ya Ali Hassan Mwinyi karibu na kituo cha mafuta cha Victoria, jengo linaitwa RDK. Hili lilikuwa ni jengo la ziada kwani makao makuu yalibaki palepale PPF Tower.

  • Pale Mwanza wakapanga PPF Plaza nalo lina hadhi Mwanza nzima. Hata kule Arusha hawakuchukua eneo au jengo
    la kichovu.

  • MLIMANI CITY MALL imeanzishwa mwaka 2006 mwishoni ikiwa ni supermarket yenye hadhi kubwa si Tanzania tu bali Afrika Mashariki.

  • Katika majengo manne ya pale MLIMANI CITY PARK, TANZANIA INVESTMENT BANK ndiyo imechukuajengo moja tu (Building 3) lakini mengine yote matatu yaliyobaki (Building 1, 2 and 4) yalichukuliwa na VODA mwaka 2010 mwishoni na wamo humo hadi dakika hii.

  • Sasa kuna tetesi kwamba VODACOM wanahama sehemu nzuri kuliko zote yaani MLIMANI CITY wanaendamaeneo ya KINONDONI ingawa sijathibitisha tetesi hizo!

  • Ukweli ni kwamba kadiri binadamu unavyobadili “lifestyle” basi na status yako itaonekana. Walipohama PPFTOWER kwenda MLIMANI CITY, hapa status iliongezeka.

  • Leo wanahama kutoka MLIMANI CITY kwenda KINONDONI, haya ni maeneo mawili tofauti kabisa kihadhi.

  • Mlimani CITY VODA ilikuwa imechukua parking karibu eneo loote lile mnalojua linalotazamana na barabara yaSAM NUJOMA. Kinondoni ni eneo linalojulikana kwa ukosefu wa Parking .

  • Bila ubishi hapa hadhi imeshuka,maana yake waendesha magari ndani ya VODA wamepungua, bila kujali ni magari yao au ya kampuni.

  • Sasa tujadili ilichobadilika ni hadhi ya sasa ya VODA. Wakati VODA inapanga vile tangu PPF TOWER na baadaye wakaenda MLIMANI CITY management walikuwepo wazungu.

  • Sasa hivi kwenye management ukiangalia asili ya wahindi imeongezeka na bosi wao mkubwa unaona kama ni mhindi vilevile.

  • Ukweli ni kwamba yapo mengi ya kuonyesha kwamba hadhi inashuka, unaweza kuongezea unayoona wewe.

  • Na kama hadhi imepanda unaweza kunipinga.
Wahindi wengi wana sifika kwa biashara ila wengi naona wanashindwa kwenye biashara za makupuni na viwanda wao utaka hela itumike kidogo kwenye uwekezaji ila wapate faida kubwa ,mi naona waendelee na biashara za kwenye mafrema karia koo. Angalia utafauti wa halotel kila siku unapanda hadhi mtandao wao angalia mitando iliyoshikwa na wahindi service mbovu kabisa .
 
  • VODACOM walifika hapa mwaka 2000 wakiwa hawana mteja hata mmoja na kwa mtaji wao wakapanga kwenye jengo lenye status kuliko majengo yote hapa nchini likiitwa PPF Tower lililoko kwenye kona ya mtaa wa Ohio na Garden.
  • Humo PPF Tower walichukua floor si chini ya nne.

  • Mwaka 2009 wakaweza kuongeza jengo jingine kule barabara ya Ali Hassan Mwinyi karibu na kituo cha mafuta cha Victoria, jengo linaitwa RDK. Hili lilikuwa ni jengo la ziada kwani makao makuu yalibaki palepale PPF Tower.

  • Pale Mwanza wakapanga PPF Plaza nalo lina hadhi Mwanza nzima. Hata kule Arusha hawakuchukua eneo au jengo
    la kichovu.

  • MLIMANI CITY MALL imeanzishwa mwaka 2006 mwishoni ikiwa ni supermarket yenye hadhi kubwa si Tanzania tu bali Afrika Mashariki.

  • Katika majengo manne ya pale MLIMANI CITY PARK, TANZANIA INVESTMENT BANK ndiyo imechukuajengo moja tu (Building 3) lakini mengine yote matatu yaliyobaki (Building 1, 2 and 4) yalichukuliwa na VODA mwaka 2010 mwishoni na wamo humo hadi dakika hii.

  • Sasa kuna tetesi kwamba VODACOM wanahama sehemu nzuri kuliko zote yaani MLIMANI CITY wanaendamaeneo ya KINONDONI ingawa sijathibitisha tetesi hizo!

  • Ukweli ni kwamba kadiri binadamu unavyobadili “lifestyle” basi na status yako itaonekana. Walipohama PPFTOWER kwenda MLIMANI CITY, hapa status iliongezeka.

  • Leo wanahama kutoka MLIMANI CITY kwenda KINONDONI, haya ni maeneo mawili tofauti kabisa kihadhi.

  • Mlimani CITY VODA ilikuwa imechukua parking karibu eneo loote lile mnalojua linalotazamana na barabara yaSAM NUJOMA. Kinondoni ni eneo linalojulikana kwa ukosefu wa Parking .

  • Bila ubishi hapa hadhi imeshuka,maana yake waendesha magari ndani ya VODA wamepungua, bila kujali ni magari yao au ya kampuni.

  • Sasa tujadili ilichobadilika ni hadhi ya sasa ya VODA. Wakati VODA inapanga vile tangu PPF TOWER na baadaye wakaenda MLIMANI CITY management walikuwepo wazungu.

  • Sasa hivi kwenye management ukiangalia asili ya wahindi imeongezeka na bosi wao mkubwa unaona kama ni mhindi vilevile.

  • Ukweli ni kwamba yapo mengi ya kuonyesha kwamba hadhi inashuka, unaweza kuongezea unayoona wewe.

  • Na kama hadhi imepanda unaweza kunipinga.
Unawezekana ukawa uko sahihi kimtizamo wako!
Ila tambua mwekezaji anaangalia faida. na VODA ni brand name tu! na pia iko kwenye soko la hisa..
Labda wana hisa wamekaa na kuona status kwao haina maana kama faida haipo ndio maana ukapata hizo tetesi..
Binafsi nilikuwa mteja mzuri sana wa Vodacom lakini walipoanza kutetereka kutoa support na huduma zao kuwa Ghali mara 200% ya wengine nikaamua ninyooshe mikono niwaachie wenye status zao..
Mfano airtime ya 2000 / 7days wanakupa dak 22 kwa mitandao yote wakati upo mtandao 2000/ 7 days wanatoa dak 50 kwa mitandao yote
Huenda hilo litakuwa limechangia sana tetesi ulizo zielezea
 
Mtoaada je umeo majengo ya kisasa yanayoshushwa kinondoni au mgeni na darisalaama hebu pita pale morocco kuna majengo hatari. Kwanza nikuulize morrocco na kule porini mliman city wapi mjini? Na wapi kuna hadhi sikulaumu ttz umeakuja dar juzi akili yako inajua mlimani city ndio dubai
 
Mtoaada je umeo majengo ya kisasa yanayoshushwa kinondoni au mgeni na darisalaama hebu pita pale morocco kuna majengo hatari. Kwanza nikuulize morrocco na kule porini mliman city wapi mjini? Na wapi kuna hadhi sikulaumu ttz umeakuja dar juzi akili yako inajua mlimani city ndio dubai
Tofauti na mada, au hapa ndo tayar umejadili?
 
Back
Top Bottom