Kwenda Ulaya sio mchezo, soma hapa kwanza

Kv-london

JF-Expert Member
Jan 24, 2014
2,813
4,796
Habari zenu wakuu
Leo nimeona niwaletee Uzi huu kwa vijana wanaotaka kwenda kufanya kazi ulaya na kuishi huko has a nchi za EU,Norway,swirzland nk

Njia rahisi na nyepesi ya kwenda ulaya ni hii.
Uwe na rafiki au mpenzi ambaye ni RAIA wa huko au jamaa zako mnaofahamiana ambao wanaishi huko hapo safi

Ila kwa kuzamia ww mwenywe hapo andika maaumivu tu utaomba visa mpaka uchoko sababu nyingi ni kukosa financial support ya ww kwenda huko
Mahitaji ni haya hapo passport unayo lakini
Visa 60-130€ kwa miezi 3
Pipa go and return 1400$
Healthcare 30000€=7600000tsh
Bank statement ya 6 months

Uhakika wa kupata kazi upo mkubwa tu ila kwa nchi kama Ireland Non UE migrants inatakiwa uwe na kazi ya kuanzia Euro 30000-60000 ndio watakupa work and resident permit
Kazi zipo ni maamuzi yako na mtaji wako wa kwenda huko ila ucjaribu kwenda nchi kama Kosovo,Albania,austro hangary nk
UK ni pagumu sana hapaingiliki na maisha ni very tough

Casual jobs kama vibarua,kubeba box,kuhudumia wazee,usafi,security nk ni kwa ajili ya wahindi na wanafunzi wanaosoma huko
Kodi kwa non EU migrants ni 40%

Kwa maelezo zaidi soma hill file hapo chini litakupa mwangaza wa kutosha

View attachment Visit-visa-checklist-Jan-2018.pdf

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu wakuu
Leo nimeona niwaletee Uzi huu kwa vijana wanaotaka kwenda kufanya kazi ulaya na kuishi huko has a nchi za EU,Norway,swirzland nk

Njia rahisi na nyepesi ya kwenda ulaya ni hii.
Uwe na rafiki au mpenzi ambaye ni RAIA wa huko au jamaa zako mnaofahamiana ambao wanaishi huko hapo safi

Ila kwa kuzamia ww mwenywe hapo andika maaumivu tu utaomba visa mpaka uchoko sababu nyingi ni kukosa financial support ya ww kwenda huko
Mahitaji ni haya hapo passport unayo lakini
Visa 60-130€ kwa miezi 3
Pipa go and return 1400$
Healthcare 30000€=7600000tsh
Bank statement ya 6 months

Uhakika wa kupata kazi upo mkubwa tu ila kwa nchi kama Ireland Non UE migrants inatakiwa uwe na kazi ya kuanzia Euro 30000-60000 ndio watakupa work and resident permit
Kazi zipo ni maamuzi yako na mtaji wako wa kwenda huko ila ucjaribu kwenda nchi kama Kosovo,Albania,austro hangary nk
UK ni pagumu sana hapaingiliki na maisha ni very tough

Casual jobs kama vibarua,kubeba box,kuhudumia wazee,usafi,security nk ni kwa ajili ya wahindi na wanafunzi wanaosoma huko
Kodi kwa non EU migrants ni 40%

Kwa maelezo zaidi soma hill file hapo chini litakupa mwangaza wa kutosha

View attachment 1024587

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kupoteza hela apply visa ya schengen countries unapewa miezi mwaka mmoja unatakiwa kuwa na shilingi 30,440,928 ()11,208 €katika blocked account.Haiihitaji Bank statement ni passsport yako na blocked account tu. Pia apply chuo cha degree au masters ni vigumu kukataliwa. Nchio nzuri ya ku-apply ukiwa na hio hela ni Ujerumani. Ukishakubaliwa kuja ujerumani unaweza kwenda kutembelea nchi zozote za schengen. Ukiwa ni mtanzania na umepata chuo cha degree au Masters huku Ujerumani unapewa miaka miwili kwa hio hela ya blocked account. Lakini ukitoka nchi ya kiislamu unaopewa mwaka mmoja maana hao jamaa wanawaza kujilipua mabomu kila saa wanamaliza stress zao kwa watu wasio na hatia. Ushahidi nimekuwekea hapo chini. Lakini kuna njia rahisi kama ya Au-Pair kama bado una umri chini ya miaka 26.
1707333441259.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom