Mimi Kenya naenda bila passport wala hizo temporary, ila ukihitaji hiyo gharama ni chini ya 200000/=Habari, nataka kusafiri kwenda Kenya lakini Passport yangu bado sijapata, mtu yoyote anafahamu nnachotakiwa kufanya ili kupata temporary passport na pia nini natakiwa kufahamu nikiwa nasafiri na aina hiyo ya passport?
Wew jamaa iyo temporary ni 10000 bei halali iyo yako imetisha ata international passport aifiki huko!!!!!Mimi Kenya naenda bila passport wala hizo temporary, ila ukihitaji hiyo gharama ni chini ya 200000/=
Nilimaanisha 20,000/=Wew jamaa iyo temporary ni 10000 bei halali iyo yako imetisha ata international passport aifiki huko!!!!!
Asante sana, hilo swala la yellow fever card hata ukipitia airport ni hivyo hivyo?Nenda Uhamiaji ofisi za wilaya Yeyote. Ukitoka nje ofisi za wilaya Tafuta stationary watakujazia fomu online fasta na kuattach document(passport size, affidavit ,barua serikali ya mtaa) .,ni sh 20,000 tu. Ukiwahi asubuhi kufika mchana umeshapata.
Ukifika border if ni namanga pale uwe na 30,000 ya yellow fever card
Kwa airport sina info but naona huwa inatofautiana kwenye check up boarder na boarder etcAsante sana, hilo swala la yellow fever card hata ukipitia airport ni hivyo hivyo?