Kwenda jeshi kwa form 6 mwaka huu

Kwenda jeshi kwa form 6 mwaka huu

kama div 3 hamna chuo bas baadhi ya vyuo itabidi vifungwe kwa kukosa wanafunzi,sidhan kama hizo tetesi zina ukweli wowote
 
Kwa division three kupokelewa vyuo vikuu naona kama yaweza kuwa na kaukweli (japo inahitaji muda kuthibitisha hasa TCU).

Jamani huko vyuoni sasa hivi kuna wanafunzi wa ajabu sana sana. Hawajui hata kutunga sentensi ya kiingereza iliyokamilika!!!

Nadhani sasa ifike wakati TCU waanzishe Marticulation exams na wale watakaofaulu marticulation ndio wawekwe kwenye selection ya TCU.

Ni aibu aibu aibu. Hizo division three ndo zimejaa vyuoni na kupelekea hali hii.

Kwenda JKT yapaswa kuwa hivyo kwa kuwa inawajenga kiafya na kuwajengea utaifa.

Kuingia chuo kwa kawaida wanahitaji ingawapo two principle passes na pass ni D (kwa sisi wengine enzi hizo E mbili zilitosha). Kiuhalisia inategemea competition iliyopo na ndio maana kwa kila program kutokana na uzoefu wa chuo wameweka cut off point hivyo D mbili zinaweza kuwa hazitoshi kama program ina ushindani mkubwa. Division three wanachukuliwa tu unless ufaulu uwe wa hali ya juu sana (sitegemei kuliona hili hapa karibuni).

Matriculation exams ilifanyika some years back kwenye vyuo kama SUA ikaondolewa kwa kukosa tija na ilikuwa ni usumbufu. Kuhusu kiingereza tatizo sio Division three bali ni mfumo wetu wa kutojua umuhimu wa kufindisha vizuri hicho kiingereza.
 
Kwa division three kupokelewa vyuo vikuu naona kama yaweza kuwa na kaukweli (japo inahitaji muda kuthibitisha hasa TCU).

Jamani huko vyuoni sasa hivi kuna wanafunzi wa ajabu sana sana. Hawajui hata kutunga sentensi ya kiingereza iliyokamilika!!!

Nadhani sasa ifike wakati TCU waanzishe Marticulation exams na wale watakaofaulu marticulation ndio wawekwe kwenye selection ya TCU.

Ni aibu aibu aibu. Hizo division three ndo zimejaa vyuoni na kupelekea hali hii.

Kwenda JKT yapaswa kuwa hivyo kwa kuwa inawajenga kiafya na kuwajengea utaifa.
Asante mkuu kwa ushauri na koment nzuri
 
Kwahiyo hiyo ya division three ni kweli??
 
Wakuu humu ndani naimani kuna watu madhubuti wa kujibu hili suala la kwenda jwtz kwa form 6 lipo au halipo?na je vip kuhusu ukipata three huendi kuchukua degree chuo kikuu.naomba kuwasilisha
Degree inachukuliwa kumbe..!!!!!!!!! Halafu mtu unawaza kupata division. Three

Karibu sana uje uchukue degree yako
 
Nasikia raisi kafuta jeshi nI kweli??
 
Wakuu humu ndani naimani kuna watu madhubuti wa kujibu hili suala la kwenda jwtz kwa form 6 lipo au halipo?na je vip kuhusu ukipata three huendi kuchukua degree chuo kikuu.naomba kuwasilisha

Kwani mkuu unataka kwenda jwtz kwa mujibu wa sheria? Hili ni wazo la kimapinduzi na kwa maoni yako linaweza likawa na pengine ingekuwa nzuri sana maana kijana wa mujibu wa sheria kama wewe anamaliza miezi mitatu anavaa na bakabaka (COMBAT), lakini to be honest, toka Tanzania ianzishe utaratibu huu kwa kweli haijawahi kutokea, binafsi nimepiga tu JKT kwa mujibu wa sheria na COMBAT nilizozivaa ni karanga.

Mkuu, mawazo yetu watanzania huwa ni finyu sana kama nukta. Naona huna kabisa mawazo au ambition za kusoma isipokuwa ni kuchukua tu degree. Lakini pia inawezekana kabisa ukachukua tu degree bila shaka, ila nenda vyuo vya private ndo vinagawa degree.
 
Huu upuuzi wa National Service ni jipu.Hakuna cha uzalendo wala nini ni upotevu wa pesa za serikali

Magufuli futa hii mzee au ifanye iwe mwaka mzima na reforms zifanyike watu watoke kule na stadi za maisha sio jembe tu
 
Nazungumzia jkt jamani
 
Na hii issue ya kwenda chuo ukipata division 1 na 2 nayo ni kweli?
 
Sawa mkuu #kirando 12
 
Sawa mkuu #Gabriel Bahati ndyo inasakwa hiyo
 
Wakuu humu ndani naimani kuna watu madhubuti wa kujibu hili suala la kwenda jwtz kwa form 6 lipo au halipo?na je vip kuhusu ukipata three huendi kuchukua degree chuo kikuu.naomba kuwasilisha
Nenda kasote kwanza JKT ndio ajira za JW zinakotokea, usitegemee form 6 yako kutakuwa na njia ya mkato.
 
Back
Top Bottom