Mkomavu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2016
- 12,196
- 17,638
Mwaka jana,nao walichelewa kutangaza hayo majina uwe tayari wakati ukifika mtakwendaMbona kimya hadI leo tr. 19 kulikoni!
Mwaka jana,nao walichelewa kutangaza hayo majina uwe tayari wakati ukifika mtakwendaMbona kimya hadI leo tr. 19 kulikoni!
Inawezekana ila cjazipata hizo habari jaribu kuzifuatilia mkuuNasikia wametangaza tunaenda ..aaaaaah
Hauendi kuteseka kijana unaenda kupewa mafunzo ya kujeshi na kimaisha kwa ujumla...wiki sita za mwanzo ndo mambo yanakuaga magumu sana baada ya hapo kawaida sana.Sawa mkuu..lakini me sioni umuhimu wa kwenda huko zaidi ya kuteseka
Nadhani hiki ndo kipindi chake so sahivi uwe unatembelea website yao mara kwa mara lazima watatoa taarifa km mnaenda au la....hawawezi kukaa kimya tu km mafunzo yamesitishwa watatoa taarifa so we jiandae tu kwa lolote.Lakini haijatangazwa kwenye habari kwa hyo sidhani kama tutaenda
Kama hujachaguliwa sio tatzo lako ni kwao na kumbukumbu zipo zinaonesha kuwa ulichaguliwa au hukuchaguliwa mwaka jana walichaguliwa awamu 2 ya kwanza,baada ya mda wakaongezwa wengine wewe mujibu usiogope hata kama hukuchaguliwa waweza kwenda kuripoti kikosini hii nilimpeleka mdogo wangu mwaka juzi pale mafingaSasa mkuu wale ambao hawajachaguliwa wanafanyaje na wao ni kina nani? Na itakuaje? Kwa nini?
Sasa mkuu wale ambao hawajachaguliwa wanafanyaje na wao ni kina nani? Na itakuaje? Kwa nini?
Sasa mkuu kwa PRIVATE CANDIDATES si wanaweza ku apply moja kwa moja pale makao makuu ya o JKT? maana mwaka jana pale school kwang kuna wana walikua wanapiga kama Pc majina yalipotoka waka apply wakapangiwa kambi.Kama hujachaguliwa sio tatzo lako ni kwao na kumbukumbu zipo zinaonesha kuwa ulichaguliwa au hukuchaguliwa mwaka jana walichaguliwa awamu 2 ya kwanza,baada ya mda wakaongezwa wengine wewe mujibu usiogope hata kama hukuchaguliwa waweza kwenda kuripoti kikosini hii nilimpeleka mdogo wangu mwaka juzi pale mafinga
Hilo sijajua cha muhimu fuatlia jns hao wadau walivyofanya mwaka janaSasa mkuu kwa PRIVATE CANDIDATES si wanaweza ku apply moja kwa moja pale makao makuu ya o JKT? maana mwaka jana pale school kwang kuna wana walikua wanapiga kama Pc majina yalipotoka waka apply wakapangiwa kambi.
Mkuu favour ya kutokwenda jkt??Nachozungumzia mim ni kwamba hao si watakua wamepata favour au?
Mkuu ukichaguliwa sio lazima uende but cjui mbele kitatokea nn ila mifano ya watu wasioenda ipo mingi tu na hakuna kilichowapata labda,hapo baadae ila nakushaur uendeYec..kwasababu mda ambao wao hawataenda jkt watafanya biashara zao za kuwaingizia kipato ili chuo wasitegemee boom peke ake
Mim ndo nafatilia kama nimechaguliwa au vip..ila mtu asipochaguliw akikaa mtaani atakuwa amejijenga vizuri kiuchumi kwa kweli kama anajitambuaMkuu ukichaguliwa sio lazima uende but cjui mbele kitatokea nn ila mifano ya watu wasioenda ipo mingi tu na hakuna kilichowapata labda,hapo baadae ila nakushaur uende