Itakua wanabana matumizi,mana mpaka sasa hivi mngekwishajulishwa..Cio ajira ni kwa mujibu wa sheria
jiandae tu mkuu mwaka jana ilikua hv hv watu walijua hawataenda mwisho wa siku majina yakatoka. Hakuna kubana matumizi kwenye kukomazana na ukiangalia JPM anataka vjana wakomae ktk kazi. So get ready, me mwenyewe ni mmoja waoNazungumzia jkt sio jwtz ajira..
hahahaaaa......nimemkumbuka dokta Mbeba!Degree inachukuliwa kumbe..!!!!!!!!! Halafu mtu unawaza kupata division. Three
Karibu sana uje uchukue degree yako
wajiandae kula madoso maana hamna namna..!jiandae tu mkuu mwaka jana ilikua hv hv watu walijua hawataenda mwisho wa siku majina yakatoka. Hakuna kubana matumizi kwenye kukomazana na ukiangalia JPM anataka vjana wakomae ktk kazi. So get ready, me mwenyewe ni mmoja wao
Aaah..mkuu mimi sipendi kwenda kwa kwelijiandae tu mkuu mwaka jana ilikua hv hv watu walijua hawataenda mwisho wa siku majina yakatoka. Hakuna kubana matumizi kwenye kukomazana na ukiangalia JPM anataka vjana wakomae ktk kazi. So get ready, me mwenyewe ni mmoja wao
Na kupotezeana muda tuu.Jeshini mateso tupu ..hakuna raha kule