Mfarisayomtata
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 474
- 188
Mtanzania ukimwambia mkae mjadili umbea na majungu hata kama DUME ZIMA mtakesha, sasa mwambie mjadili mambo ya msingi mfano watoto wa mitaani tuwasaidieje? Utashangaa majibu yake yooote kwenye siasa tu. FUNGUKENI AKILI WAZEE.