kinje ketile
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 4,314
- 8,306
Kwa Umakini mkubwa nikasema nifuatilie tu nini Kinajiri pale Mwalimu Nyerere International Airport Wakati timu Pinzani kwa Simba na Yanga Wakati zinawasili. El Merrekh ya Sudani na Power Dynamo ya Zambia...! ni nini Kitatokea.?
Nilichoshuhudia ni Wanahabari tu Wa Vyombo binafsi na Media zile Rasmi Wakijitahidi kupata hili na Lile kwa ajili ya vyombo vyao na interviews chache tu, baaasi.
Ukweli Sikuona Maandamano Kama miaka Kadhaa nyuma Ya Mapokezi kama tulivyokuwa tumezoea..!
Wala sikuona yeyote Kavaa jezi ya El Merrekh au Ya Power Dynamo.
Nikajisemea moyoni ama Kweli hawa Mashabiki wa Yanga na Simba Wamebadilika, na hii ni indicator mojawapo kweli tumepiga hatua.
Tusijichukulie poa,ni kweli Ligi yetu ni namba 5 Afrika.
Kila la kheri Yanga,Simba na SBS.
Nilichoshuhudia ni Wanahabari tu Wa Vyombo binafsi na Media zile Rasmi Wakijitahidi kupata hili na Lile kwa ajili ya vyombo vyao na interviews chache tu, baaasi.
Ukweli Sikuona Maandamano Kama miaka Kadhaa nyuma Ya Mapokezi kama tulivyokuwa tumezoea..!
Wala sikuona yeyote Kavaa jezi ya El Merrekh au Ya Power Dynamo.
Nikajisemea moyoni ama Kweli hawa Mashabiki wa Yanga na Simba Wamebadilika, na hii ni indicator mojawapo kweli tumepiga hatua.
Tusijichukulie poa,ni kweli Ligi yetu ni namba 5 Afrika.
Kila la kheri Yanga,Simba na SBS.