Kweli Tanzania inahitaji Wakuu wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya?

Kuna maeno pahaka fulan imeandikwa hivi ........atakavyoona inafaa......
Haya maneno tulipaswa kuyaondoa kwanza
 
Tafakari na hili pia..... VIPI KUHUSI WAKUU WA MIKOA???
Maana mikoani wapo...RPC...RAS...REO...RSO....RPO...n.k VIPI NA WENYEWE WAONDOLEWE??????
Kumbe kama hoja yako ni kuwa wilayan kuna viongozi ulowataja vipi mbona hata mikoani wapo? ????
By the way umesema ma DC hawana qualifications ili achaguliwe...VIPI KUHUSU MAMEYA??? Wana Qualifications gani zaidi ya kuwa wanasiasa??? Ambao ni kujua kusoma na kuandika? ?? Zaidi saana hasa Mameya wa upinzani wengi ni darasa la SABA Tena Failure. ..Mfano...Jimbo la Tunduma.. MBUNGE CDM...DARASA LA NNE....MADIWANI WOTE CDM...DARASA LA SABA. ..MEYA...LA SABA.....NAIBU MEYA....LA SABA.....n.k
My Take:- Punguza Mihemko ya kisiasa
Nilitaka kukuacha lakini nafsi ikanusuta kuwa WANAFIKI KWANGU NI MWIKO.
Acha JOTO la Lumumba wewe, ni kweli kuwa kuna vyeo ambavyo hakika ni OFA OFA kwa Lumumba kama vilivyotajwa kwa MA RC na Team Yote pamoja na Ma DC na Team Yote.
Usemi huu huenda ukatimia kuwa hata Malaika akishuka CCM haraka atabadilika na KUWA SHETANI ndicho ninachokiona sasa kwani ni ile ile...mbele...kwa mbele....yale yale.. hakuna JIPYA.
 
Huo ni mfumo wa Ma-DC ni wa kikoloni. Kwa wakati ule uliwasaidia sana wakoloni kutawala maana walimwakilisha Gavana na alisaidiwa na machifu wa maeneo husika. Hata hivyo kwa wakati ule, kwa jiografia ya nchi ilivyo na hali ya miundombinu na mawasiliano yalivyokuwa mabaya, Ma DC walikuwa na umuhimu mkubwa.

Kwa sasa, hizo nafasi hazina maana yeyote, na ni kuongeza gharama za utawala na kuwabebesha wananchi mzigo usio na maana yeyote na kuongeza gharama za kiserikali bure. Imefika wakati tuachane nao.

Vv
 
Kwa ajili ya utekelezaji wa sera za chama tawala au chama kilichoshika dola, ni muhimu kuwa na hizi nafasi. Hauwezi kutegemea kwa mfano meya wa CHADEMA Dar aanze kutekeleza sera za maendeleo za CCM kwa mji wa Dar wakati upinzani unapinga kila hoja ya chama tawala. Na hata upinzani ukishika dola kwa mfano huwezi kutegema ma meya wa CCM watatekeleza sera za chama pinzani huko mikoani. Kwasababu chama kinachoongoza ndio kina unda serikali, basi kuna umuhimu wakuwa na watu wao wakusimamia sera za chama tawala hata kwenye mikoa au wilaya ambayo inaongozwa na upinzani. Kwangu ni swala la administration na kuwa na consistancy in policy implementation countrywide of the ruling party, sio swala la vyeo.
 
Wafute uDC na uRC ...wakurugenzi wanatosha na wabunge wakae muda mwingi majimboni mwao kuangalia maendeleo na kuhakikisha ahadi zao zinatekelezwa!!
 
Nilitaka kukuacha lakini nafsi ikanusuta kuwa WANAFIKI KWANGU NI MWIKO.
Acha JOTO la Lumumba wewe, ni kweli kuwa kuna vyeo ambavyo hakika ni OFA OFA kwa Lumumba kama vilivyotajwa kwa MA RC na Team Yote pamoja na Ma DC na Team Yote.
Usemi huu huenda ukatimia kuwa hata Malaika akishuka CCM haraka atabadilika na KUWA SHETANI ndicho ninachokiona sasa kwani ni ile ile...mbele...kwa mbele....yale yale.. hakuna JIPYA.
Kama tu vile ambavyo..SHETANI AKIVUKA UZIO NA KUINGIA KWNY KANISA LIITWALO CHADEMA HUBADILIKA NA KUWA MALAIKA! !!! TENA AMBAYE HAJAWAH KUTENDA DHAMBI....Hata kama alishasemwa kwa miaka takribani nane akiiingia tuuuuu mch. MSIGWA humuombea na kuwa MALAIKA wa nuru!!!@! What a tragedy men!!!!!!
 
Tafakari na hili pia..... VIPI KUHUSI WAKUU WA MIKOA???
Maana mikoani wapo...RPC...RAS...REO...RSO....RPO...n.k VIPI NA WENYEWE WAONDOLEWE??????
Kumbe kama hoja yako ni kuwa wilayan kuna viongozi ulowataja vipi mbona hata mikoani wapo? ????
By the way umesema ma DC hawana qualifications ili achaguliwe...VIPI KUHUSU MAMEYA??? Wana Qualifications gani zaidi ya kuwa wanasiasa??? Ambao ni kujua kusoma na kuandika? ?? Zaidi saana hasa Mameya wa upinzani wengi ni darasa la SABA Tena Failure. ..Mfano...Jimbo la Tunduma.. MBUNGE CDM...DARASA LA NNE....MADIWANI WOTE CDM...DARASA LA SABA. ..MEYA...LA SABA.....NAIBU MEYA....LA SABA.....n.k
My Take:- Punguza Mihemko ya kisiasa
nadhani maRC wabaki ili kumwakilisha Rais mikoani. lakini maDC? sioni cha maana wanachofanya zaidi kuongeza gharama za serikali ambazo zingeelekezwa kwenye shughuli nyingine za maendeleo.mkuu wazo langu sio la kisiasa bali ni wazo la Kitanzania. nivumilie ni mtizamo wangu tu! ila tafakari tena na uone ni nini cha kujenga wanafanya hawa maDC zaidi ya kusweka watu rumande. niambie nini kitakosekana au kwenda vibaya wasipokuwepo hawa watu. pia tambua tofauti kati ya wateuliwa wa rais nabwale wa kuchaguliwa na wananchi. mbunge na meya hata kama hajui pamoja na madhaifu yake ndo kapendwa na wananchi
 
Wakuu wa wilaya wapo wengi sana. sina hakika na idadi yao ila kwakuwa mikoa iko 26 na kwa wastani kila mkoa una wilaya kama 5 basi hawa ndugu kwa makadirio wako kama 130 hivi, ni wengi mno. hapo wanapatiwa mishahara, posho, magari, nyumba, ofisi, wasaidizi n.k ni gharama nyingi serikali inaiingia kwa kuwatunza au kuwawezesha hawa maDC. najiuliza wana kazi gani ya pekee wilayani? Kila wilaya ina katibu tawala(DAS), mkuu wa polisi(OCD), mkuu wa usalama wa taifa(DSO), afisa elimu(DEO), mkuu wa magereza(DPO), bado kuna mameya na wenyeviti wa halimashauri na kila tarafa ndani ya wilaya ina watumishi. Hawa wakiratibiwa vzr wanafanya kazi zote za mkuu wa wilaya. Au kuna kipi cha pekee anachofanya DC?
Mkuu wa wilaya anabaki kubeba nafasi ya kisiasa isiyo na tija kwa taifa bali ni mzigo. nafasi hii naifananisha na mtumishi hewa ambaye anapata mshahara wa bure bila kazi.
Angalia wakuu wa wilaya huteuliwa mtu yeyote tu, hawana vya pekee bali kula kodi ya wananchi.
Angalia JK aliteua maDC mpaka ikawa gumzo kwa taifa. kwakweli kama serikali inawaza kupunguza gharama naiunga mkono ila itafanikiwa vzr ikituondolea hawa maDC
Mifumo ya utawala Tanzania ni tatizo sana....ukuu wa wailaya,ukuu wa mikoa sijui na mazaga zaga gani huko havina maana,ikiwa tuna ongelea ugatuzi wakati mamlaka ya rais ina ingilia utendaji wa halmashauri hakika tutakwenda hivyo hivyo...
 
nadhani maRC wabaki ili kumwakilisha Rais mikoani. lakini maDC? sioni cha maana wanachofanya zaidi kuongeza gharama za serikali ambazo zingeelekezwa kwenye shughuli nyingine za maendeleo.mkuu wazo langu sio la kisiasa bali ni wazo la Kitanzania. nivumilie ni mtizamo wangu tu! ila tafakari tena na uone ni nini cha kujenga wanafanya hawa maDC zaidi ya kusweka watu rumande. niambie nini kitakosekana au kwenda vibaya wasipokuwepo hawa watu. pia tambua tofauti kati ya wateuliwa wa rais nabwale wa kuchaguliwa na wananchi. mbunge na meya hata kama hajui pamoja na madhaifu yake ndo kapendwa na wananchi
Mkuu nashukuru kwa mtazamo wako. ..umekuwa constructive
Hata mm ingependeza sana Ma DC waondolewe au itafutwe njia sahihi ya kuweka uwakilishi wao huku chini (kama hoja ya wao kuwepo ni kuiwakilisha serikali iliyoko madarakani kuepuka mameya au wawakikishi wa chama kilichoko madarakani na mwakilishi aliyechaguliwa akiwa chama tofaut na kilichoshika madaraka)
Vinginevyo nakuunga mkono
 
Kweli mtoa mada umefikiria Sana'a na ukilichunguza kwa umakini utabaini jambo hili halina maana kubwa zaidi ya kupotezea taifa fedha nyingi ambazo zingefanya maendeleo ya jamii
 
Kama tu vile ambavyo..SHETANI AKIVUKA UZIO NA KUINGIA KWNY KANISA LIITWALO CHAGADEMA HUBADILIKA NA KUWA MALAIKA! !!! TENA AMBAYE HAJAWAH KUTENDA DHAMBI....Hata kama alishasemwa kwa miaka takribani nane akiiingia tuuuuu mch. MSIGWA humuombea na kuwa MALAIKA wa nuru!!!@! What a tragedy men!!!!!!
Msipobadilika na kubadili mfumo wa kufikiria kwa kutumia viungo vya mwili kwa ufasaha hakika moto wa jehanam ni halali yenu kwani itakuwa umedhihaki uumbaji wa Mungu na kazi yake badala ya kutumia TUMBO kuhifadhi chakula mnatumia KUFIKIRI.
 
1. kuwa wenyekiti wa usalama japo wengi hawajui kitu kuhusu usalama.

2. kupokea na na kusindikiza mwenge.
3. kupokea msaada wakati wa majanga.
4. kupokea , kutembeza na kuaga viongozi wakubwa.
5. kuwa wageni rasmi.
7. kuweka watu "wanaosumbua" kizuizini.
8. kusoma taarifa za madawati, matundu ya vyoo, vituo vya afya, Ng'ombe na nk.
9. kufungisha ndoa.
naomba tuongeze na zingine hasa zile za maana kama za hapo juu. mwisho wa siku tupime hasara na faida za kuwa nao.
 
Ni kweli hakuna haja ya kuwa na ho ma RC hata kidogo.
Hata hivyo kama ukikumbuka chanzo cha kuanzishwa kwa RC post ilikuwa ni kuwatuliza wanajeshi na kuogopa baadhi ya mikoa kujitenga kipindi kile, hivyo ilikuwa ni kwa security reasons ndio maa unaona wengi huwa ni makannali fulani au wanjeshi wastaafu.
Wakati wa sasa na zamani si sawa tena, ndio maana katika hiyo katiba mpya moja wapo tutakalopenda kuangalia ni kutoa hizo nafasi zote kabisa pamojana DC zote hizo nafasi zimeshakuwa ni ulaji tu wa kisiasa zaidi.
Je wakitoka tutapenda hizo nafasi ziweje??
je zisiwepo kabisa?
au kuwe na magavana watakaokuwa wanateuliwa na wananchi ambao wanaweza kuwajibishwa na wananchi waliowachagua??
au amaoni yenu ni yapi?
Wafute hivyo vyeo, tena waanzie Dar es salaam.
 
Back
Top Bottom