FortJeasus
JF-Expert Member
- Jan 19, 2012
- 603
- 397
Sera ya Majimbo hiyp, haitufai kwa sasa.
Ndugu, hitimisho lako lingesaidia mjadala kama ungeisumbua akili yako kuweka angalau premises ama sababu angalau tatu kushadadia hoja yako.
Jiulize,kwa mfano nami nitumie staili yako kwa kutoa kauli ''sera ya majimbo inafaa kwa nyakati hizi'' na nikaishia hapo bila kuweka ufafanuzi wowote...Baada ya muda akatokea na mwingine huku akirejea kauli yako ya awali.Unadhani kutakuwa na majadiliano hapo?
Jiepushe na kile kinachofahamika kama ''intellectual laziness''!