Kweli shetani anamakusudi sana

Kweli shetani anamakusudi sana

Mwanamke malaya huolewa na mwanamme Mwaminifu vilevile Mwanamme Malaya humuoa mwanamke mwaminifu...Hii hutokana na kwamba Malaya huwa hakosei kuchagua kutokana na kuwa yeye mwenyewe baharia
 
Nipe no,ya huyo unae muita mke wako nimshauri kitu, inawezekana wewe hujitambui wala hujui wapi una kwenda upoupo tu kwa kifupi wewe ni________,

Wewe ndio hujitambui Mkuu, jamaa anahitaji ushauri ili aweze kuvuka majaribu anayopitia
 
Hak

Hakuna mchamungu anayezini chief , hii either ni chai au unaoa tu muislam maana kuna tofauti kati ya muislam na mchamungu hata Allah aliwatenga hivyo.

Muislamu:
anaswali swala tano, anajistiri anatoa zaka na swadaka lakini makatazo ya Allah hayazingatii akidhani kwamba akifanya mema yatafuta yale mabaya anayofanya kumb3 anachanganya maji na mafuta.

Mchamungu:
kwa kifupi anafanya yoote anayofanya muislamu na anafuata makatazo ya mwenyezi mungu na anafanya mengi yanayomsogeza karibu kabisa na mwenyezi mungu .

Hope umeelewa now una date(kwenye uislamu hakuna ku date kama umempenda na unasifa za ndoa ya kiislamu ambazo ni simple sana oa sheria ipp hivyo) ,na mtu wa aina gani huyo hata kama ana bikra si kigezo cha yeye kuwa mchamungu .

Kingine hebu acha kumdhihaki allah mkuu, sawa wote tunafanya maovu either kwa kupenda au kutopenda ila hatutumii jina lake kwenye utopolo kama huu ulioandika .

No offence .

Hak

Hakuna mchamungu anayezini chief , hii either ni chai au unaoa tu muislam maana kuna tofauti kati ya muislam na mchamungu hata Allah aliwatenga hivyo.

Muislamu:
anaswali swala tano, anajistiri anatoa zaka na swadaka lakini makatazo ya Allah hayazingatii akidhani kwamba akifanya mema yatafuta yale mabaya anayofanya kumb3 anachanganya maji na mafuta.

Mchamungu:
kwa kifupi anafanya yoote anayofanya muislamu na anafuata makatazo ya mwenyezi mungu na anafanya mengi yanayomsogeza karibu kabisa na mwenyezi mungu .

Hope umeelewa now una date(kwenye uislamu hakuna ku date kama umempenda na unasifa za ndoa ya kiislamu ambazo ni simple sana oa sheria ipp hivyo) ,na mtu wa aina gani huyo hata kama ana bikra si kigezo cha yeye kuwa mchamungu .

Kingine hebu acha kumdhihaki allah mkuu, sawa wote tunafanya maovu either kwa kupenda au kutopenda ila hatutumii jina lake kwenye utopolo kama huu ulioandika .

No offence .

Cha kwanza kaka labd nikuambie tayar nmeshaoa pili nmeomba ushaur na sio km ninawafata na kingn kuhusu kuwa kubalia ni ile usumbufu umezd na sio km wengn hawajui km nimeoa wengn wanajua na uwezo wa kuchange line kisa mtu siwez ndio maan nikaleta hapa nifanye vp ten
IMG_4633.jpg
 
Mzinifu haolewi ila na mwanamume mzinifu au mshirikina. Na hayo ya. Mwanamume mzinifu hamwoi ila mwanamke mzinifu au mwanamke mshirikina. Na mwanamke meharimishwa kwa Waumini” (24: 3).

Hope unajua kusoma

Asante kwa maneno yako
 
Yote heri. Corona eti ipo tanzania au haipo tujue moja
 
Cha kwanza kaka labd nikuambie tayar nmeshaoa pili nmeomba ushaur na sio km ninawafata na kingn kuhusu kuwa kubalia ni ile usumbufu umezd na sio km wengn hawajui km nimeoa wengn wanajua na uwezo wa kuchange line kisa mtu siwez ndio maan nikaleta hapa nifanye vp tenView attachment 1707342
Sasa kama umeoa si uwaambie hao mademu zako wazamani ukweli, waambie wewe ni mme watu waache usumbufu
 
Huyo Mchumba Wako Unayetaka Kumuoa Angekuwa Kweli Mtu Wa Iman Asingekubali Kusexy Na Wewe Bila Kuwepo Ndoa
 
Cha kwanza kaka labd nikuambie tayar nmeshaoa pili nmeomba ushaur na sio km ninawafata na kingn kuhusu kuwa kubalia ni ile usumbufu umezd na sio km wengn hawajui km nimeoa wengn wanajua na uwezo wa kuchange line kisa mtu siwez ndio maan nikaleta hapa nifanye vp tenView attachment 1707342
Hongera kwa kuoa chief niliandika vile kwa sababu maelezo yako hayakuwa yamejitosheleza ,inshaallah mwenyezi mungu awaongozeni nyote .
tukirudi kwenye mada husika ,kwanza jua kwamba ulipofunga ndoa sio kwamba ndo umewapunguza hakuna kitu kinawavuta wanawake kama akiona unaoa direct au akiona pete ya ndoa kwenye kidole maana anajua kwamba unajua kutunza na upo matured .

Hivyo cha kwanza kabisa endelea kuomba mungu akuepushe nao na pia tumia busara tu kuwa na maamuzi na msimamo binafsi kama unaona kuwa block bado inakuwa ngumu .
 
Inabidi kuwe na kozi maalumu ya kuwafundisha new members uandishi
Tunapata tabu sana kusoma jamani

ova
Kozi ya nini tena jamani!??? Watu wa levo kubwa kama yako huwa hawalalamikii vitu vidogo kama hivi, badala yake wanawaajiri vijana watatu wanne wa digrii ama mastaz ili kuwasaidia kuhendo simu zao. Nikutumie namba za broka!??? Au ndiyo nako utakuwa bize ushindwe kufanya mchakato!??? 🙂 🙂 🙂
 
Hongera kwa kuoa chief niliandika vile kwa sababu maelezo yako hayakuwa yamejitosheleza ,inshaallah mwenyezi mungu awaongozeni nyote .
tukirudi kwenye mada husika ,kwanza jua kwamba ulipofunga ndoa sio kwamba ndo umewapunguza hakuna kitu kinawavuta wanawake kama akiona unaoa direct au akiona pete ya ndoa kwenye kidole maana anajua kwamba unajua kutunza na upo matured .

Hivyo cha kwanza kabisa endelea kuomba mungu akuepushe nao na pia tumia busara tu kuwa na maamuzi na msimamo binafsi kama unaona kuwa block bado inakuwa ngumu .

Ok inshallah,na shukran kwa pongez na ushaur wako mzur
 
Kozi ya nini tena jamani!??? Watu wa levo kubwa kama yako huwa hawalalamikii vitu vidogo kama hivi, badala yake wanawaajiri vijana watatu wanne wa digrii ama mastaz ili kuwasaidia kuhendo simu zao. Nikutumie namba za broka!??? Au ndiyo nako utakuwa bize ushindwe kufanya mchakato!??? 🙂 🙂 🙂
Currency, BTC or stocks?
 
Niaj wakuu,


Kuna jambo moja la ajabu sana japo wanasema wanaume tumeumbiwa tamaa lakin nikisema niendekeze hii tabia mwisho wake mbaya kipind cha nyuma kwel nilikuw chovya chovya sana nakumbuka kuna siku mwaka jana mwanzon kabisa nikaamua kuomba dua Allah anijalie mwanamk mzur mchamungu kwel bhas Lahaullah nikapata mtoto mmoja mzur sana mrembo haswaa mtoto mweupeee hawez kutembea kichwa wazi na kizur zaid ambacho nilikipenda kwake alikuwa BIKRA kwahy tukacunja nazi japo nilimuahid lazima nikuoe bhas na mm sikuona hajizi nikaend kujitambulisha kwao na kutoa mahar tayari kabisa nikajiapiza nitulie tuli niachane na michepuko sas naona hii 2much wanajileta sana km siku ya leo madem watatu wameomba appointment ya kuniona nikawajuza kwangu kuna mgen ambae ndio huyu mwanamke wangu kwahy siwez mmoja ni mwanachuo kamaliza mitihan jana kwahy akaniambia jmos lazima ni mgegede mwingin kanipigia simu asbh yupo uhasibu kaniambia atakuja sa2 ya usiku na watatu yupo anaishi kigambon ndio kanipigia simu saiv ananiambia anajianda akiwa tayar atanijuza na mwingin ni nesi muhimbili aliniahid kesho jumapili atakuw off ili nimpe DUSHELELE na wote nimewaambia ninamgeni kwangu kwahy wamekubali twende lodge lkn kila nikimuangalia mwanamke wangu ni mpole mchamungu kwel anaswali swala 5 roho inanisuta sana japo nimewakubalia wote kwa siku ya leo lkn roho inanisuta na kuzodoa nakiri kusema sijawai pata mwanamke wa aina hii sihitaj itoke siku nije nimkwaze namuheshimu sana sas najiuliza haya mambo niyakwepe vipi najitahid sana mpk mda mwingne nasema Allah aniondole tamaa kabisaaa nisije kutaman mwanamke yoyt lkn ndio wanajileta wenyew maex zangu wawili mmoja nae yupo arusha kila akinipgia simu ananiambia ww hata km unamwanamk wako lkn nikja dar siwez kukubania sina nguvu za kukunyima lazima tupashe kiporo sas najiuliza haya mambo ni yakwepe vipi japo nakuwa smart sana ila kuhusu kuwa handsome hilo mm silijui sas najiuliza nn shida mpk inafika kipind kaka angu na washkaj wananiambia ninadawa ya kuwavuta wanawake sijui nifanye vipi wanawake wasijilete ovyo ovyo au kujirahisisha kwangu ninaeza nikakutana na mwanamke hv leo kesho nikamuita geto nikamla had ananiambia “sijui hapa kwako nmefikaje fikaje kirahisi hv mm sijawai kuwa namna hiv”hii kauli nishaambiwa saaan na wanawake weng wakuu naomben ushaur hii kitu inatokana na nn au nifanyaje zaid ili haya mambo yasije kunitokea puani

KWA USHAURI ZAIDI NIPO TAYAR KUPOKEA
we jamaa ni chenga
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom