Kweli nimepatikana siamini

Usithubutu kumtamkia au kumtongoza mwanaume yeyote hapa duniani bidada utajutraa..

Nimeona ndugu jamaa na marafiki kilichowakuta kwa upuuzi huo..ni mwendo wa vilio hadi nawaonea huruma mweeh!

Usithubutuu....
Kimeshamkuta kitu 😆
 
Vipi alikula mzigo yaani ALIKUNYANDUA?

#YNWA
 
Dah sikujua kama unanipenda mimi nilikuchukulia kama dada yangu any ways sio mbaya Nakupenda pia Lini unakuja ghetto tutest mitambo ni mm mfanyakazi mwenzio
Wenzio tushazaa na mtoto wewe unaibuka leo?! Uzi wa 2017 huu mjomba, tayari kuna uzi wa mrejesho
 
Vipi alikula mzigo yaani ALIKUNYANDUA?

#YNWA
Pita hapo mkuu ujionee
 
Kumbe aligoma kumfata ushauri wangu na sasa yana mkuta..!!!

#YNWA
 
Sasa ndo umeamua kuja kusemea hapa??.Si ungeniambia tu,Wala nisingekufikiria vibaya.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…