Kweli nimemkubali John Pombe Magufuli kwa kurudisha heshima nchini

toroka uje mjini

JF-Expert Member
Mar 29, 2017
1,584
2,107
Kweli kila jambo lina mwanzo na mwisho wake. Kwasasa abiria kabla hajapanda bodaboda cha kwanza anakuuliza kama una kofia ngumu (helmet) ili umpe aivae kama hauna huyo abiria atatafuta bodaboda ingine. Jambo la kupakia mishkaki kama zama zile kwa sasa akibainika hatua ya kwanza atachukuliwa na uongozi wa kijiweni Kwake anapopaki pikipiki yake

Hii ni ishara tosha kabisa kuwa Mhe rais wetu John Pombe Magufuli amerudisha heshima nchini, tuzidi kumuombea kwa Mungu ampe afya/umri mrefu na tushirikiane nae kupambana na hao mafisadi wanaotaka kuiba rasilimali za nchi yetu
 
Wewe unavong'ang'ania mikataba tumetia sahihi wenyewe kuna aliopinga kwa hilo??
Hapo hapo unafahamu vipengele vilivyomo ndani ya mikataba??
Je ukienda tofauti na mikataba tulivikubaliana hapo inakuaje????
Kwamfano foreigner umeingia Thailand unaaambiwa orodhesha Pesa ulizokuja nazo,badala yakuorodhesha kiukweli kua Pesa taslimu ni USD 10000.ukadanganya ukaorodhesha usd3000.
Kisha wakagundua wanachikifanya hio hela iliobaki usd7000 inachkuliwa.
Hio ilishanikuta Mimi binafsi..
Sasa na MIKATABA IPO HIVYO.TATIZO HUJUI LOLOTE UMEONA KWASBB UPO NJE YA NCHI NDIO UNAJIONA KILA KITU UNAJUA BONGO YA SASA SIO YA ENZI ZILE..TUKISKIA MTU KATOKA UK TUNAMBABAIKIA BONGO YA LEO HATA USHUKE KUTOKA SAYARI INGINE TUNAKUONA WAKAWAIDA TU
 
Kuwaachia na kuzivuta rasilimali zetu leo ndio tumekua wazembe au sio,!!!
Haya tumeamka Mkuu tumetoka ktk uzembe tumewazuia kubeba Mali kiholela bila KULIPA chochote sasa mnatuita RACIST..TO HELL who da hell are you..Buz Off with ur Pants out of my sight...Nyinyi ndio mnajiita ati wazalendo....manina NDIO maana mnajikuta mkivaa vihereni na tumikufu hadi uzeeni..
Hapa ni Kazi tu..
Narudia tena waambie hao ma boss wako bado tumewapendelea saana vinginevyo tukikumbushia ya nyuma hata huyo billigate wenu atarudi kua mpiga debe au konda
Wanakuja na vimisaada vya kinafiki kutujengea ka shule kenye thamani ya million 200.Tshs..BEHIND DA DOOR WANABEBA MALI ZETU ZENYE THAMANI 200M$ USD...
 
Kweli kila jambo lina mwanzo na mwisho wake.Kwasasa abiria kabla hajapanda bodaboda cha kwanza anakuuliza kama una kofia ngumu(helmet)ili umpe aivae kama hauna huyo abiria atatafuta bodaboda ingine.Jambo la kupakia mishkaki kama zama zile kwa sasa akibainika hatua ya kwanza atachukuliwa na uongozi wa kijiweni Kwake anapopaki pikipiki yake
HII NI ISHARA TOSHA KABISA KUWA MH RAIS WETU JOHN POMBE MAGUFULI AMERUDISHA HESHIMA NCHINI,,TUZIDI KUMUOMBEA KWA MUNGU AMPE AFYA/UMRI MREFU NA TUSHIRIKIANE NAE KUPAMBANA NA HAO MAFISADI WANAOTAKA KUIBA RASILIMALI ZA NCHI YETU
Mungu atampiga kwa mapigo mazito sawa sawa na maombi yako.
 
Je hiyo heshima ni yakudumu au akiondoka mambo yanarudi kama kawaida..
Ishu sio kujenga heshima ya leo pekee, ishu ni kujenga misingi imara ya heshima hata utawala ukibadilika isifutike.
 
Kweli kila jambo lina mwanzo na mwisho wake.Kwasasa abiria kabla hajapanda bodaboda cha kwanza anakuuliza kama una kofia ngumu(helmet)ili umpe aivae kama hauna huyo abiria atatafuta bodaboda ingine.Jambo la kupakia mishkaki kama zama zile kwa sasa akibainika hatua ya kwanza atachukuliwa na uongozi wa kijiweni Kwake anapopaki pikipiki yake
HII NI ISHARA TOSHA KABISA KUWA MH RAIS WETU JOHN POMBE MAGUFULI AMERUDISHA HESHIMA NCHINI,,TUZIDI KUMUOMBEA KWA MUNGU AMPE AFYA/UMRI MREFU NA TUSHIRIKIANE NAE KUPAMBANA NA HAO MAFISADI WANAOTAKA KUIBA RASILIMALI ZA NCHI YETU
Sometimes tumia hata 10 percent ya ubongo wako unatia aibu.
 
Upumbavu wetu ndoo umewafanya wachukuwe advantage ya kutuibia ni bora tusinge enda shule kuliko aibu tunayoipata kwa kuibiwa rasilimali zetu. Watu ni maprofesa na madactar lakni hawatofautiani na darasa la saba wanakubali kusaini mikataba wanayoifaham haiwanufaishi, hakuna haja ya kuwalaum wazungu hata kama ni mm ishu ya biashara ukizubaa lazima nikuibie. Kitu nimekinunua 500 lakini nikiona unazubaa nakuuzia 2500 .
 
Kweli heshima imerudi maana leo yule form fail amepewa upolis anamchapa bakora mbunge wake....
 
Kweli kila jambo lina mwanzo na mwisho wake.Kwasasa abiria kabla hajapanda bodaboda cha kwanza anakuuliza kama una kofia ngumu(helmet)ili umpe aivae kama hauna huyo abiria atatafuta bodaboda ingine.Jambo la kupakia mishkaki kama zama zile kwa sasa akibainika hatua ya kwanza atachukuliwa na uongozi wa kijiweni Kwake anapopaki pikipiki yake
HII NI ISHARA TOSHA KABISA KUWA MH RAIS WETU JOHN POMBE MAGUFULI AMERUDISHA HESHIMA NCHINI,,TUZIDI KUMUOMBEA KWA MUNGU AMPE AFYA/UMRI MREFU NA TUSHIRIKIANE NAE KUPAMBANA NA HAO MAFISADI WANAOTAKA KUIBA RASILIMALI ZA NCHI YETU
ni hatua Nzuri, tatizo hakuna bodaboda hata mmoja mwenye "HELMET", vilevifuniko walivyonavyo hata ukikidondosha chini kinapasuka, je, hii ndiyo maana Ya "helmet "??.

hatua tuliyopaswa kuanzia ni kuzuia uagizaji wa bidhaa zisizo na ubora stahiki
 
WABABA TUNASEMA........

1. "Ni afadhali kuwa na jeshi la kondoo linaloongozwa na Simba, kuliko jeshi la simba linaloongozwa na kondoo." *Napoleon_Bonaparte.*

2. "Lengo la kwanza la vita sio kufa kwa ajili ya nchi yako, hapana. Bali ni kuua mtu mwingine kwa ajili ya nchi yake." *George_Patton.*

3. "Lazima nisome siasa na vita ili mwanangu apate uhuru wa kusoma hesabu na falsafa." *John_Adams.*

4. "Washindi wanashinda kwanza halafu wanakwenda vitani, wanaoshindwa huenda vitani kwanza halafu ndio wanatafuta ushindi." *Sun_Tzu.*

5. "Inafahamika vizuri katika vita, majeruhi wa kwanza ni ukweli. Kwamba, wakati wa vita, ukweli huharibiwa vibaya na propaganda." *Harry_Browne.*

6. "Propaganda ikitumiwa vizuri inaweza kumfanya mtu aone kuwa paradiso ndio jehanam na jehanam ndio paradiso." *Adolf_Hitler.*

7. "Mtu mwenye ufahamu wa kweli, si tu kwamba atawapenda maadui zake wanapofanya vizuri, bali pia atawachukia marafiki zake wanapokosea." *Friedrich_Nietzsche*

8. "Madaraka ni kama mchanga. Jinsi unavyoyakumbatia kiganjani ndivyo yanavyokuponyoka." *Confucus*

9. "Tofauti kati ya akili na ujinga ni kuwa, akili ina kikomo, ujinga hauna kikomo." *Albert_Einstein.*

10. "Kuna watu wawili tu wasioweza kubadili mawazo. Mpumbavu kuliko wote na mwenye hekima kuliko wote." *Plato.*

11. "Rais ni mtu wa kushutumiwa kila mara. Ukiona hataki kushutumiwa, ujue hajui sababu ya kuwa hapo." *Harry_Truman*

12. "Sote tumezaliwa wajinga, tunahitaji bidii kidogo ili kuwa na maarifa, au bidii kubwa sana ili kuendelea kubaki wapumbavu. Baadhi huchagua njia ya pili." *Benjamin_Franklin*

13. "Unajisi wa sheria hutokea pale ambapo mahakmu/majaji, hujiweka mikononi mwa watawala na kuamini watawala wana nguvu kuliko sheria" *Lamar_Smith*

14. "Kuliko kuwapa wanasiasa ufunguo wa maisha yako, ni bora ubadili kitasa" *Doug_Larson*

15. "Siasa ni hatari kuliko vita. Kwenye vita mtu hufa mara moja tu, lakini kwenye siasa mtu hufa na kufufuka mara nyingi kadri iwezekanavyo" *WinstonChurchi
 
Back
Top Bottom