yupo wap kinana?yupo wap makamba?wakati tumeanza mchakato wa kampeni walikuwa na kelele sana hawa na kuja na propaganda zao,watu wakawaelewa na mashambulizi yakaelekezwa kwao,wakatambua watanzania si mabwege,sasa hawaonekani tena kwenye media kuuza sura na propaganda zao,hivi wapo wapi?