Ngonidema
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 2,775
- 2,750
Niaje wana Jf, Hakika na Kweli Mungu wetu hana Mzaha na Hana kinyongo Kwa wale wamchao na Ndiyo mana amesikia Maombi ya Wanyonge wa Tanzania, kiukweli kabsa Magamba yamepoteana, yanahangamia na Majibu ya Muombi ya watanzania kwa Mungu wetu Anaechukia dhuruma, Manyanyaso, dharau, ufisadi, Ubnafc.Naiona ccm inapotea mapema sana kabla ya uchaguzi yan cku zinavyokwenda ndivyo ccm inavyofutika kwenye maskio ya wantanzania, Nawakumbusha ccm Mungu akisema Ndiyo, Hakuna Wakupinga kubalin Yaishe