Kweli Max Ndiye Yeye: Kwanini Sina Hofu

Kweli Max Ndiye Yeye: Kwanini Sina Hofu

Labda swali dogo tu kwako,
Tukiacha ya kua wewe ni mmojawapo ya Waanzilishi, je wewe nawe sasa ni Mmojawapo ya wamiliki au wanahisa wa huu mtandao??
Ngoja ninyamaze maana naona umetimiza uhuru wako wa kusema......ktk ubora wako.angalia hoja ya msingi
 
Wewe mwanakijiji ni mmoja wao unaempoteza njia Rais kwa kumpa sifa asizokuwa nazo,
Umekuwa mtetezi mkubwa wa serikali hata kwenye uozo, kama mngekuwa mnasema ukweli toka Mwanzo ingesaidia sana tu kuwarekebisha
 
Tuendelee kuisifu tu serikali hii ya awamu ya tano. Si ndio huyu Mwanakijiji aliyeona ni bora ccm ishinde? Sasa tusilalamike. Hiyo lugha ya "upinzani wa kweli" haina tija kwa taifa letu, la msingi lilikuwa ccm itoke. Tuache tu tupate matokeo ya kuunga mkono ccm. Bado kwa staili hii kila mtu atafikiwa, ni zamu mpaka tuisome namba.

Siamini km Mwanakijijj anaweza kuunga mkono ccm na km kweli alifanya hivo ntajaribu kumpuuza.....Aliposema "upinzani wa kweli" sijui amemaanisha nn[/SIZE]
 
Kabla ya kuzima JF je hakuna namna ya kupambana na hali hii? Mtakapozima JF mtakua mmesurrender, effect yake ni kuwa mtakua mnawaumiza ndugu zenu walio Tanzania.
 
Duh this serikali is too crazy
Maisha yanazingua halafu hata sehemu yetu ya kuondolea stress wanatuandama
Kweli tunaishi km madevil
 
Kuna watu humu ndani hamjajua nchi hii hasa ccm.watawala wa ccm kila wanapokaa iwe lumumba au ikulu uwa wanajiuliza nn sababu ya kura zao kushuka na idadi kubwa ya watu kuichukia ccm.Moja ya sababu kubwa ni mitandao ya kijamii,magazeti na ndio maana sheria zinakuwa kali sana kila kukicha.wao kwa imani yao na tafiti zao za wataalamu wa rumumba wamezunguka nchi nzima wanajua kuwa ili waendelee kutawala vema ni kufungia vyombo vyote vya habari na kuweka sheria kali.na ndio maana mkuu wa nchi aliwai tamka kuwa anatamani kuzima mitandao ya kijamii ili siku anafungua watu waone nn kinafanyika utadhani mitandao ndonitaonyesha sisi tumelala
 
Baada ya JF kupata cyber attack mwaka jana nilianza kuhisi JF sio salama tena,Max Namuomba MUNGU akulinde kwenye hiki kipindi kigumu
DoS??
Naona kwa sasa hackers wamechemsha inabidi vita iwe wazi wazi tuu
Mbwa akibweka anakutisha tu? Labda awe koko! Tumebweka ....[HASHTAG]#FreeMaxenceMelo[/HASHTAG] ....
 
Unataka kukimbia na hauna break what do you expect?

Nchi inayumba mwanzoni kabisa mwa mteremko mkali sana kilomita kadhaa mbele kuna mto mkubwa sana...je nini kinafuata ?
Rais na wasaidizi wake wameshindwa kuongoza na kushauriana juu ya nini cha kufanya na wapi pa kufanya, nini cha kusema na wapi pa kusema!

Nchi ipo mikononi mwa mtu asiyeweza kuongoza na hakubali kuwa hawezi nchi hii haiitaji mtawala kwa kuwa kuna sheria na katiba ambavyo ni lazima ufuate.
Tunahitaji uhuru wa habari na kujieleza, kupata na kutoa habari kwa muda muafaka. #S T O P C R U E L T Y
 
Wewe ni mnafiki tu mng'ata na kupuliza.
Kila siku unaisifia...hilo donge limetoka wapi?
Mkuu kuna point iliyotutofautisha. Angekuwa mnafiki asingemgeuka JPM. Ukiwa huru bila unafiki unapaswa kusimama na ukweli. Ndio maana Chadema walipokuja na ujinga tuliohuru tukawageuka bila kusita ....na sasa serikali inafanya ukuda kama huu tunaikosoa bila soni. Hata wewe lazima ufike point uwe huru kukosoa bila kujali chochote ....usitetee uchadema tu bila kukosoa na mwisho kujenga chama cha upinzani cha kudumu ....
 
Tatizo ni kwamba tunashindwa kusoma alama za nyakati. Kuna mambo tunatakiwa kupaza sauti kabla hayajaota mizizi. Badala yake tunatanguliza ushabiki wa kisiasa mwishowe tunaishia kulalamika. Tanzania ni zaidi ya itikadi zetu za kidini,kisiasa ama kikabila.
 
mleta mada ni kati ya vinyonga hatari sana hapa JF.

hii mada angeandika mtu mwingine,ningeipa kipaombele,lakini kwa kuwa aliyeandika ni mnafiki toka kundi lile lile ,naipuuza.
Siasa kama hizi ndio shimo kwa Taifa ...huyu haitetei Chadema wala taifa ....bali mtu ....yupo tayari apuuze hoja ili tu atimize kiu yake kwa mtu wake ....
 
Back
Top Bottom