nziriye
JF-Expert Member
- Jan 23, 2011
- 1,051
- 361
Nimegundua maisha magumu jamani wa-tz wenzangu ,yani kuna matendo yanatokea nchini kwetu hadi yanatia huruma,maisha magumu hadi inafikia kipindi watu wanafanya vitu out of their conscious,sikia kituko cha leo ktk daladala...nimepanda ktk daladala na m-baba mmoja ameforge kitambulisho cha shule ya sekondari anajadai anasoma biafra sasa konda akamuuliza biafra ipo wapi ,khe jamaa hajui ,?yani abiria wote wanashangaa,ndugu hivi mkwere angekuwa anajua wananchi wake wanatabu kama hizi au anajionea sawa?loh wengine wamegoma kulipa nauli mpya ,doh jamani tabu tupu yani ni bora kuwa mbwa ulaya nadhani kuna some of probs. zitapungua ,jamani hivi ni wa-tz wote wanatabu au ?