Mimi nasubiri mahakama ya mafisadi nione Mwakyembe anafikishwa mahakamani
kwa mabehewa hewa na ufisadi wa bandarini.....hapo ntamuona Magufuli kweli 'mchapakazi'
Mimi nasubiri mahakama ya mafisadi nione Mwakyembe anafikishwa mahakamani
kwa mabehewa hewa na ufisadi wa bandarini.....hapo ntamuona Magufuli kweli 'mchapakazi'
Ardhi yote ya Tanzania chanzo chake ni Raisi.!ni rahisi zaidi kutaifisha nyumba alizouza yeye mwenyewe kuliko mashamba asiyojua asili yake
Ardhi yote ya Tanzania chanzo chake ni Raisi.!
Hapo sasa! Hapo sasa! Ni kuwa ccm ni mtandao uliojengwa na mafisadi na hao mafisadi hawawezi kudhuriana! Kama akishinda KAZI inaanza pale atakapokuwa anaunda serikali yake. Mr X ni fisadi lakini alimsaidia sana kwenye kampeni, atamwacha? Kampuni Y ni ya serikali na ilinunuliwa kifisadi na mtoto wa rais aliyempigia debe, atathubutu kumnyang'anya?
Hata mimi nimesoma hili andiko nikashangaa kwa sababu mtu anayepotosha ninaamini anaelewa kile ambacho Magufuli amekuwa akisema kwenye mikutano mbali mbali.Hapana usiseme uongp, hajasema atataifisha na pia hajasema atachukuwa mashamba yote.
Magufulia anasema mashamba makubwa yasiyoendelezwa atayarudisha kwa wananchi walime.
Hivi kwanini mnapenda kusema uongo?
Hao uliowataja kama wana mashamba makubwa na yamekaa hawayaendelezi amma waanze kuyaendeleza amma watapewa wananchi. Hawapo exceptional.
Sikuelewa kabisa. lla nafikiri ingekuwa vizuri wapiga kura waelimishwe vizuri kuhusu hili. UKAWA wangechangamkia hii ..
Sikuelewa kabisa hilo neno, MWALIMU.
Ahaa. Unaona sasa mtego alioutega? Kumbe ameweka condition na wala sio wenye mashamba makubwa utabidi yagawiwe kwa wananchi? Unajua maana yake ni nini? Ni kwamba akiupata 'urahisi' tukimuulizw vipi mzee yale mashamba ni aje? jibu ni rahisi tu
Atasema wenyewe wanayaendeleza, basi. Utataka nini zaidi? Ni sawa na wezi wa Epa tulipoambiwa walirudisha pesa lakini haijulikani ni nani na ngapi zilirudi!
Usiseme uongo.
Anaweza kuwa si mlaghai kama Lowassa. Mkurya sijui yule atapenda kazi kama anavyosema. yule kama asemavyo hajui sana siasa na ndo watu wengi wa Tanzania wamesikika wakisema. porojo TZ hazitakiwi ili tuondoke japo hatua chache. Kikwete alimzuia mengi sana ili angalau asikanyage wakubwa. Mpeni sasa Magufuli acheni ushabiki na upenzi kama walivyofanya wakina mama kwa Mjomba JK! achaneni na huyo swahiba wa Mjomba JK. kwanini muungane na vita binafsi ya hao maswahibadk magufuli ni mlaghai kama ilivyo kawaida ya wanaccm?
Mimi nasubiri mahakama ya mafisadi nione Mwakyembe anafikishwa mahakamani
kwa mabehewa hewa na ufisadi wa bandarini.....hapo ntamuona Magufuli kweli 'mchapakazi'