Kweli maendeleo hayana chama

folota

JF-Expert Member
Aug 14, 2015
251
160
Hili ni Jimbo la kubenea CHADEMA tuseme ukweli CCM walibagua wapinzani? Je, tuwanyime kura kwa kigezo gani, nasubiri wadau mje na vihoja dhaifu kama Lissu.

Amesahau korona ilizuia viongozi majirani kuja kuzika anasema tumepoteza marafiki nnje ya nchi. hivi moi alikufa wakati wa Corona?

FB_IMG_15966601912060475.jpg
FB_IMG_15966601767143651.jpg
FB_IMG_15966601630490431.jpg
 
Back
Top Bottom