MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,259
Mimi nakubalina na wewe Bw. Gomvu kuwa madai ya akina Mbowe, Pamoja na CCM kuwa LOWASSA ni "fisadi" yana ukweli, au sio?Kwanini akina mboe, hawajakanusha waliyotuambia nchi nzima na mnyika alituhakikisha kuwa ushahidi anao, ww nyumbu mchanga unatumbia si fisadi!!!?.
Lakini mahakama si ndio yenye mamlaka ya kuthibitisha madai hayo?
Je ilishafanya hivyo?
Inatakiwa mahakama ifanye kazi yake, ili sisi kama Taifa tuliofanyiwa ufisadi na Ndg. LOWASSA tupate haki yetu, na huyu LOWASSA kama individual apate haki yake, nothing else!
We got nothing but love for this nation..!