Kweli Lowassa na Sumaye ni matapeli wa siasa

Kweli Lowassa na Sumaye ni matapeli wa siasa

Too much of anything is nonsense

Kuna mambo mengine mengi ya kujadili sio lowasa na Sumaye kila siku

Grow up
Mkuu hawa sio wa kunyamazia hata kidogo wanua upinzani na ndio wanasabbisa ccm iendelee kutawala nitawasema mpaka wastaafu siasa au warudi ccm kwa mafisadi wenzao....
 
Mkuu hawa sio wa kunyamazia hata kidogo wanua upinzani na ndio wanasabbisa ccm iendelee kutawala nitawasema mpaka wastaafu siasa au warudi ccm kwa mafisadi wenzao....

you are firing right targets to a wrong person

Tatizo la CHADEMA sio hao ...Tatizo ni Mbowe....Dealing with Mbowe will automatically phase them out.......

hata uki hutafanikiwa ila mki mtafanikiwa
 
Yan na jua linawaka ivi we unawaza Sumaye na Lowassa? huna mke? Huna watoto? Huna baba? Ukawawaza hao kwanza?
 
Baada ya kula [HASHTAG]#hashtag[/HASHTAG] kwa Mwigulu umekuwa rojorojo..endelea kupig ramli mana siku hizi mna vilinge mkononi
 
Hata kina Lissu na Lema ni wale wale matapeli wa kisiasa.

Kwa sasa wamekuwa wabeba mikoba ya Lowassa.

Liberty cannot be established without morality, nor morality without faith―Alexis de Tocqueville

Angalia walichokisema na walichokitenda.

View attachment 454163
Wanasahau Kama kuku, wanamsema mtu kisha wanamsifu hiyo huyo ! Watu wa tabia hii hawafai kuongoza hata kijiji, sembuse nchi !
 
Sumaye kufanya Kazi Serikalini kwa miaka 10 akiwa waziri mkuu sana sana alichokifanikisha ni kuiba mashamba ya wananchi.

Kuuza nyumba za Serikali bila huruma ndio yangekuwa mabadiliko?

Eti tuliuza nyumba za Serikali kwa sababu zilikuwa nyingi shame on you .

Eti ukitaka mambo yako yanyooke vizuri kuwa ccm halafu ukinyang'nyanywa shamba ulilokwapua unaanza kulia lia .

Lowassa miaka mitatu ya uwaziri wake anataka kuleta hadi nvua ya bandia na makampuni ya kitapeli ya kufua umeme.

Halafu akiambiwa fisadi eti Mwenye ushahidi apeleke mahakamani hivi kutopelekwa makamani ndio kigezo cha wewe kutokuwa fisadi?..

Hivi niwaulize swali wafuasi wa Lowassa hivi Chenge ni fisadi au sio fisadi?

Hivi watu kama Lowassa na Sumaye waliotuaminisha kuwa wanauwezo wa kwenda Ikulu wanakosaje uwezo wa kupigania maslahi yao ya kuzuiwa kufanya mikutano ya siasa mpaka 2020?..

Kazi ya Lowassa na Sumaye kwa sasa ni ipi? Kama siasa wamezuiwa tu wameufyata wakati sio wabunge wala hawana Ajira yeyote ?

Kama mnashindwa kujitetea tu mngeweza kuwatetea watanzania mlio wasaliti huko nyuma?

Hivi hawa wangeweza kuongoza nchi kweli watu wasioweza hata kupigania Ajira zao.

Nashauri lowassa na Sumaye wastaafu siasa. Au watulie sindano iwaingie Mimi nitatetea watu walio very clear ndani ya Chadema kama Lema na Lissu lakini si hawa matapeli.

Chagua moja staafu siasa, nendeni Ccm au maslahi yenu yakiguswa nyamazeni mnatia kinyaa.
Unaanzaje kumlaumu Lowassa na Sumaye kabla ya kumlaumu Mbowe aliowaleta?
 
Sumaye kufanya Kazi Serikalini kwa miaka 10 akiwa waziri mkuu sana sana alichokifanikisha ni kuiba mashamba ya wananchi.

Kuuza nyumba za Serikali bila huruma ndio yangekuwa mabadiliko?

Eti tuliuza nyumba za Serikali kwa sababu zilikuwa nyingi shame on you .

Eti ukitaka mambo yako yanyooke vizuri kuwa ccm halafu ukinyang'nyanywa shamba ulilokwapua unaanza kulia lia .

Lowassa miaka mitatu ya uwaziri wake anataka kuleta hadi nvua ya bandia na makampuni ya kitapeli ya kufua umeme.

Halafu akiambiwa fisadi eti Mwenye ushahidi apeleke mahakamani hivi kutopelekwa makamani ndio kigezo cha wewe kutokuwa fisadi?..

Hivi niwaulize swali wafuasi wa Lowassa hivi Chenge ni fisadi au sio fisadi?

Hivi watu kama Lowassa na Sumaye waliotuaminisha kuwa wanauwezo wa kwenda Ikulu wanakosaje uwezo wa kupigania maslahi yao ya kuzuiwa kufanya mikutano ya siasa mpaka 2020?..

Kazi ya Lowassa na Sumaye kwa sasa ni ipi? Kama siasa wamezuiwa tu wameufyata wakati sio wabunge wala hawana Ajira yeyote ?

Kama mnashindwa kujitetea tu mngeweza kuwatetea watanzania mlio wasaliti huko nyuma?

Hivi hawa wangeweza kuongoza nchi kweli watu wasioweza hata kupigania Ajira zao.

Nashauri lowassa na Sumaye wastaafu siasa. Au watulie sindano iwaingie Mimi nitatetea watu walio very clear ndani ya Chadema kama Lema na Lissu lakini si hawa matapeli.

Chagua moja staafu siasa, nendeni Ccm au maslahi yenu yakiguswa nyamazeni mnatia kinyaa.
Umesahau moja kwa sumaye kujaza wakuu wa wilaya na mikoa kutoka kanda yake
 
Kwahiyo LOWASSA na SUMAYE wakiondoka siasani, basi matatizo ya Nchi hii yatakoma?

Sio kweli kwamba LOWASSA ni fisadi, hakuna ushahidi wowote zaidi ya Porojo tu na maneno ya vijiweni!
 
Back
Top Bottom