Kweli Lema ni kiboko

wakati mwingine chadema huwa wanajidanganya sana yaani wakishavaa magwanda yao wanaongea chochote lema una cheo chochote halafu unataka kuipiga mkwara serikali iliyochaguliwa kwa demokrasia.
'demokrasia my both feet' naichukia ccm mimi, huwa natamani kuhama hii nchi! Idiot!
 
serikali itumie akili sana maana kuwafukuza machinga nikuongeza madhara kwa jamii haswa pale maisha yanapokuwa juu mtu anakuwa busy nakibiashara chake unamfukuza unategemea familia yake itakula nini? wawatafutie sehemu ya kuwapeleka ndipo wawatoe
 
Wakati mwingine Chadema huwa wanajidanganya sana yaani wakishavaa Magwanda yao wanaongea chochote Lema una cheo chochote halafu unataka kuipiga mkwara serikali iliyochaguliwa kwa demokrasia.
DEMOKRASIA< DEMOKRASI DOMOKRASIA> DEMO POLICCM. time will tell!!
 
huo ndio mpango mzima huku mjini wao wana taka waku fanyie nn mpaka wanatuhamisha hamisha?
 
Hilo tamko la Lema kalitoa kama nani?
Kama mbunge wetu wa maisha. ......... Mguseni muone kama kila mtu hajahamia chadema. Hata hivyo hamna mwana cccm arusha
 
Ndio vizuri. politics ni yetu watu wa kawaida. ........... magamba mmezoea rushwa kwenye siasa sisi tunawafunza siasa isiyo na rushwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…