Matayarisho ya kuwaondoa yalikuwa bado kukamilika, tarehe imesogezwa mbele wataondolewa tarehe 10 Mei, 2012
serikali isiyo halali marazote haina maadili na itasumbuliwa kwa kila hali.haina ubavu
Hilo tamko la Lema kalitoa kama nani?
Wakati mwingine Chadema huwa wanajidanganya sana yaani wakishavaa Magwanda yao wanaongea chochote Lema una cheo chochote halafu unataka kuipiga mkwara serikali iliyochaguliwa kwa demokrasia.
Hilo tamko la Lema kalitoa kama nani?
Mbunge ambaye yuko likizo.....Hilo tamko la Lema kalitoa kama nani?
Wakati mwingine Chadema huwa wanajidanganya sana yaani wakishavaa Magwanda yao wanaongea chochote Lema una cheo chochote halafu unataka kuipiga mkwara serikali iliyochaguliwa kwa demokrasia.
Siasa bhana, CHADEMA wakichukua nchi 2015 si wataruhusu machinga mpaka ikulu. Ubungo saivi safi.
Na pia asisahau kuwaambia wasilipe kodi wala ushuru!
Nenda miji yote mikuu duniani kuna utaratibu maalumu wa kufanya biashara, huo ni ujinga na uwezo mdogo anaoonyesha
huyo aliyekuwa mbunge wa arusha
Wakati mwingine Chadema huwa wanajidanganya sana yaani wakishavaa Magwanda yao wanaongea chochote Lema una cheo chochote halafu unataka kuipiga mkwara serikali iliyochaguliwa kwa demokrasia.
Kama mbunge wa ARUSHA....
Wakati mwingine Chadema huwa wanajidanganya sana yaani wakishavaa Magwanda yao wanaongea chochote Lema una cheo chochote halafu unataka kuipiga mkwara serikali iliyochaguliwa kwa demokrasia.