Zipuwawa
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 3,051
- 653
Jioni hii nimesikitika kumuona mbunge bungeni anasema maendeleo ni pamoja na jengo la bunge, hapa ni sawa na Jk aliposema kuwa na magari mengi ni maendeleo hakika Tanzania ina watu wapuuzi sana sikuwepo Tanzania ila NIMEJIONEA MENGI SANA NA YA KUSIKITISHA MAISHA MAGUMU LAKINI VIONGOZI WANALETA UTANI. ninaposikia Bunge na kujionea maisha ya WATANZANIA NAUMIA SANA.
Tuliowapa uongozi ebu fikirieni basi maisha yetu.
Tuliowapa uongozi ebu fikirieni basi maisha yetu.