Acha uongo wewe fatu hawezi andika hivyo ukizidi naanika kila kitu kama kweli ni wewe. kwanza hilo jina si lako jina linaanzia na M. pili kama kweli ni huyo kijana sidhani kama anaingia JF. unajua kuchafua imeniuma sana maana bint ananihusu pia inaweza kumletea matatizo kwao. Yaani wewe ni muongo sana yaani unadanganya wote wanakusoma hapa