Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 13,358
- 20,817
Haijawahi kutokea JK akashindwa kuhudhuria mikutano ya kimataifa hata kama hapa nyumbani kuna jambo nyeti linalohitaji uamuzi wake!
Leo kwa mara ya kwanza JK ameshindwa kuhudhuria kikao cha marais wa SADC huko Gaborone, Botswana ili aliweze kuendesha kikao cha Kamati Kuu ya CCM!
Hii imetokana na kasi ya UKAWA katika kushambulia uwanja wa siasa!
Pipoooooozi!
Leo kwa mara ya kwanza JK ameshindwa kuhudhuria kikao cha marais wa SADC huko Gaborone, Botswana ili aliweze kuendesha kikao cha Kamati Kuu ya CCM!
Hii imetokana na kasi ya UKAWA katika kushambulia uwanja wa siasa!
Pipoooooozi!