Shareef Conscious
JF-Expert Member
- Jul 19, 2016
- 522
- 338
Adam&Eve..
Wanadamu wa kwanza kutia nyayo zao ktk uso wa Dunia na kutengeneza vizazi na Vizazi kutoka nyakati ambazo ni ngumu Hata kujua ilikua ni mwaka gani!
Bado ni ngumu hata ukiweka katika makadirio, na utajua ni ngumu zaidi kama ukitaka kufahamu juu ya MFUATANO WA VIZAZI KATIKA UKOO WAKO!, Ukienda mbali zaidi utafika katika kiza cha fikra zako za mwisho katika kutambua ukoo wako unaanzia wapi, Anzia kwa babu yako kizaa mama/baba kisha rudi nyuma zaidi utaelewa nini hasa namaanisha!
Nlichofikiri kimsingi ni kwamba pengine kama Adam&Eve wasingekula lile tunda katika mti wa kati wa Bustani walipokua wakiishi, Pengine kuitambua hii sequence ya waasisi wa ukoo wako ingekua ni RAHISI&TATA katika wakati mmoja.
Maana kwa mantiki ya kutokula lile tunda wanadamu wangeishi pasi na kufa, Hivyo ni wazi ungejua watu wa awali kabisa katika ukoo wako ukiachilia mbali Adam&Eve, Cha kufikiri hapa ni kwamba;-
Unadhani hali ingekuaje kama pasingelikua na KIFO?
KIFO KISINGEKUWEPO HALI INGEKUAJE?
Wanadamu wa kwanza kutia nyayo zao ktk uso wa Dunia na kutengeneza vizazi na Vizazi kutoka nyakati ambazo ni ngumu Hata kujua ilikua ni mwaka gani!
Bado ni ngumu hata ukiweka katika makadirio, na utajua ni ngumu zaidi kama ukitaka kufahamu juu ya MFUATANO WA VIZAZI KATIKA UKOO WAKO!, Ukienda mbali zaidi utafika katika kiza cha fikra zako za mwisho katika kutambua ukoo wako unaanzia wapi, Anzia kwa babu yako kizaa mama/baba kisha rudi nyuma zaidi utaelewa nini hasa namaanisha!
Nlichofikiri kimsingi ni kwamba pengine kama Adam&Eve wasingekula lile tunda katika mti wa kati wa Bustani walipokua wakiishi, Pengine kuitambua hii sequence ya waasisi wa ukoo wako ingekua ni RAHISI&TATA katika wakati mmoja.
Maana kwa mantiki ya kutokula lile tunda wanadamu wangeishi pasi na kufa, Hivyo ni wazi ungejua watu wa awali kabisa katika ukoo wako ukiachilia mbali Adam&Eve, Cha kufikiri hapa ni kwamba;-
Unadhani hali ingekuaje kama pasingelikua na KIFO?
KIFO KISINGEKUWEPO HALI INGEKUAJE?