MUTTAZ
JF-Expert Member
- Feb 27, 2016
- 296
- 237
Kuna uzi nimeuona ila ghafla siuoni!
Kuna jamaa alikuwa anaomba ushauri anataka kugegeda house gal wake baada ya mkewe kusafiri na kumuacha naye! Nihitaji kumpa ushauri huu hapa chini ila nikaona siwezi komenti chochote kwenye uzi na baadaye uzi siuoni tena.
Kati ya vyote, kutia house gal siwezi nasijawahifikiria! Nimekaa nao kama saba hivi na wengine wazuri kweli ila huwa nahitaji wife awafanye kama wanetu au ndugu zetu wa dam kuanzia mavazi, malazi na misosi tule pamoja hata kama hakuzoea, na ninashukuru mambo si mabaya wife anawamudu na wanaendana naye. Na nikiona dosari huwa nawasiliana na wife then yeye anamaliza nao.
Ila kula house gal kiongozi acha tafadhali. Yaani kweli ukose nyapu huko nje hadi uje ule ya house gal wako kweli jamani, kwanza unakuwa unamdhalilisha mkeo sana tena sana pili nihatari kwa familia yako yote (hatari kwako kwa watoto wako na kwa mkeo pia) anything bad can happen, hujawahi kufikiria hata familia yako kudhuriwa au unatafuta umaarufu!
Kwa yeyote mtaka papuchi ya housegal wake please ajiangalie kwanza na afikirie kabla ya kutenda.
MUTTAZ.
Kuna jamaa alikuwa anaomba ushauri anataka kugegeda house gal wake baada ya mkewe kusafiri na kumuacha naye! Nihitaji kumpa ushauri huu hapa chini ila nikaona siwezi komenti chochote kwenye uzi na baadaye uzi siuoni tena.
Kati ya vyote, kutia house gal siwezi nasijawahifikiria! Nimekaa nao kama saba hivi na wengine wazuri kweli ila huwa nahitaji wife awafanye kama wanetu au ndugu zetu wa dam kuanzia mavazi, malazi na misosi tule pamoja hata kama hakuzoea, na ninashukuru mambo si mabaya wife anawamudu na wanaendana naye. Na nikiona dosari huwa nawasiliana na wife then yeye anamaliza nao.
Ila kula house gal kiongozi acha tafadhali. Yaani kweli ukose nyapu huko nje hadi uje ule ya house gal wako kweli jamani, kwanza unakuwa unamdhalilisha mkeo sana tena sana pili nihatari kwa familia yako yote (hatari kwako kwa watoto wako na kwa mkeo pia) anything bad can happen, hujawahi kufikiria hata familia yako kudhuriwa au unatafuta umaarufu!
Kwa yeyote mtaka papuchi ya housegal wake please ajiangalie kwanza na afikirie kabla ya kutenda.
MUTTAZ.