Kweli duniani hatupendani

Kweli duniani hatupendani

khaaaaaa wanawake tunashida machoko hao mim ningewanyang'anya tenda wallai yani wako wapi hao kwani nenda kachukue pesa waambie mwenye sherehe kakataa daaa yani nimekasirika hebu wanyan'ganye hiyo tenda harakaa nasema daaa mmxxxiiiuuuu
 
khaaaaaa wanawake tunashida machoko hao mim ningewanyang'anya tenda wallai yani wako wapi hao kwani nenda kachukue pesa waambie mwenye sherehe kakataa daaa yani nimekasirika hebu wanyan'ganye hiyo tenda harakaa nasema daaa mmxxxiiiuuuu

Hahahahahahaaaaaaa. umenitia moyo sana, yaani binadamu ni ngumu kumuelezea namna alivyo. Unacheka na mtu kumbe moyoni ni hatari. Yaani we acha tuu.
 
Hahahahahahaaaaaaa. umenitia moyo sana, yaani binadamu ni ngumu kumuelezea namna alivyo. Unacheka na mtu kumbe moyoni ni hatari. Yaani we acha tuu.

mbona mim siku nyingi ngeshachukua pesa yan haraka... haiwezekani niwatafutie tenda????
 
usiwe unaleta utani, undugu wala urafiki kwenye pesa... ukifanya hivo utajiri unanukia...
Pesa kitu kingine ukileta undugu usidhani hao wenzako wanakufikiria hivohivo, kila mtu anataka avute kwake as much as possible, kua na uroho wa pesa, uchungu, hasira nayo yani itafute ka vile unatafuta uhai, sema tu usiitafute illegally..
 
Hahaha...dah mi mwenyewe yamenikuta haya. Nimempa mtu aidia ili tuifanye pamoja...kaenda kumwambia rafiki yake ndo wameamua kufanya pamoja mi nimemwagwa lol

Asa si bora umwagwe tu hela usipoteze. Nilishawahi panga deal na mseng* flan tunafahamiana siku nyingi (deal lenyewe ni illegal lakn). Mtaji wake ulikua kama M 2.5 hvi ambao tungepiga hela kama M 15 za haraka haraka within a week roughly. Kwa vile jamaa nlimuamini nikampatia hela bila kuandikishiana wala nn na hakuweka bond chochote cz nilifanya kumheshimu. Jamaa akapotea na hela mazima hadi leo haja nipa hata Tsh 100 huu mwaka wa pili saa hv. Sikuweza mchukulia hatua yeyote ukicheck issue yenyewe ilikua illegal na hatukuandikishiana. Ikabdi nipoteze tu ila iliniuma na kunikera sanaaaa (sio sababu ya ile pesa nliopoteza la hasha ila mtu nimefanya kumheshimu sana na kufikiri atakua na akili za kiutu uzima alaf kaja kunifanyia mambo ya ajabu sanaa). By tha way nkashukuru Mungu kwa kuniepushia maana ingekua noma sana na ingeni cost zaidi if things went wrong.

Na jamaa na meet nae often, ila nimepiga kimya as if nothing happened wala sijamuuliza chochote. Imeishia kuwa salamu tu. Mazoea na ule ukaribu nae umekufa kabsa. Ilifika wakat nakosa raha nabaki kujiuliza maswali mengi sanaaaa rohoni. So kuna wakat mwngne fanya kama umejifunza tu. Don't sweat it.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom