Kweli chama kimepata mgombea


Haya kaka haya tuyaache kama yalivyo.... Life goes on...!!!!
 
Shit! Shit! Sasa tatizo lipo wapi hapo? Badala ya kusifia uhimara wake wa afya ninyi mnaponda?
Mbona nabii Musa na baadhi ya manabii walikua wanaambatana na askri wao kwenye viwanja vya mapambano kupigana dhidi ya maadui zao?

Naomba kujua kiwango chako cha elimu please!
 
Huyu Mzee atakuwa anatumia yale majani ya kondeni sio bure
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…