Elizabeth Dominic
Platinum Member
- Dec 7, 2007
- 4,555
- 3,649
Kama mungu yupo chadema pekee basi chadema watashinda lakini kama mungu ni wa wote chadema haiwezi kushinda kalenga wala chalinze.
mungu? wtf?
Kama mungu yupo chadema pekee basi chadema watashinda lakini kama mungu ni wa wote chadema haiwezi kushinda kalenga wala chalinze.
hii hoja NAKUBALIANA nayo kwa kiasi kikubwa, sielewi kwanini cdm hawaoni umuhimu wa kujiimarisha VIJIJINI na VITONGOJINI ili kuwa na chama IMARA. Viongozi na wanachama wa cdm LAZIMA WATAMBUE ILI vinginevyo wataendelea kuimba wimbo wa KUIBIWA kura ilhali UDHAIFU umo kwenye mikakati yao wenyeweCHADEMA ina tatizo moja kubwa la kujiimarisha kwa chopa badala ya kufungua matawi na ofisi zake kwenye majimbo haya!
Kinachofuata ni uzi ule ule, chopa 3 kata 3
Ni aibu kuuza utu wako kwa chakula cha Usiku mmoja.. hawa buku 7 ni hangs la kitaifa
Sikuoni tena Joly Club sikuhizi! Hata siwasikii tena Twanga wakikurusha. Umeishia wapi jaman Mama Mingoi. Washabiki wako tunakukumbuka sana ulivyokuwa unakata mauno!
We miss you alot!
huyu mama anadhani siasa ni kujaza kifua tu atapata shida sana jumapili waandae chumba cha kumlinda asijinyonge.