Kweli Chadema Ndio Inaongoza Serekali

Wabunge kama kina John Komba types wanaweza kusoma muswaada wakaelewa na kuchangia? tena kumbuka umeandikwa kimombo kibovu. Wengi wapo wapo pale kushangilia kila kitu hata kama ni cha kupuuzi ili mradi kimeletwa na CCM tu.

Kaka yangu John alifikiri Bunge ni sehemu ya kutungia nyimbo za kampeni. Tuna safari ndefu na wabunge wetu wasioelewa maana halisi ya uwakilishi wa wananchi wao wanaingia bungeni kuiwakilisha CCM na kudumisha fikra potofu za viongozi wa chama chao.

"Fungeni milango tupigane!" ni kauli ya mbunge akiwawakilisha wananchi wake bungeni.
Naamini una maneno mazuri sana ya kulisapoti hili, halafu utuambie tofauti yako kwa Chadema na Komba kwa Sisiem...
 
Mtoa mada lazima ujue Upinzani sio uadui bali ni kutoa mawazo mbadala kwa nia na madhumuni kuleta ustawi wa jamii.

Na kiongozi mzuri ni yule anayekubali challenges kwa mustakabali wa jamii nzima. Kwani wote nia ni kujenga na si kubomoa


Acha kuchemsha wewe, mtoa mada hajakataa usemalo ila wewe hujamuelewa yeye anachomaanisha si ccm kupokea tu mawazo bali sasa wanawahadaa wananchi kama wao ndio waliopendekeza muswada utolewe!!! aibu ya mwaka, wanafikiri wananchi hawafuatilii ushabiki wao wa kichama bungeni badala ya utaifa.
 
Wana jf...kweli leo nimeamini wabunge wa ccm ni vichefuchefu....spika amerudisha muswada wa maoni ya katiba wao wanapiga vigelegele na kushangilia bila aibu eti ccm ccm ccm ni aibu kubwa sana,

wamenyamazishwa na lema au kabwe kama sukosei maana sikumuona vizuri akisema shangilieni vizuri maoni ya chadema...nauliza swali kuna mbunge gani wa ccm aliye bungeni sasa hivi aliyetoa maoni kupinga muswada huu wa katiba?

Dah kweli itabidi hata jk ampigie Dr wa ukweli magoti na amuheshimu kama kiongozi wake, thanks Chadema's team


Sio kuongoza serikali tu, bali hata chama (ccm) maana hilo linaloendelea sasa la kujivua gamba na kutoa siku 90 kwa mafisadi kujisafisha n ikazi ya cdm, ukweli ni kwamba hawa jamaa (ccm) wana kazi ngumu na inavyoonekana hata hao consultants wao hawajui wafanyalo, kwani ushauri usingekuwa tu kujivua gamba na kufukuzana bali ungeenda mbali zaidi mpaka ujinga ule wa kushabikia chama bungeni badala ya utaifa - na hilo ndilo litakalo wadidimiza zaidi...
 
Wabunge kama kina John Komba types wanaweza kusoma muswaada wakaelewa na kuchangia? tena kumbuka umeandikwa kimombo kibovu. Wengi wapo wapo pale kushangilia kila kitu hata kama ni cha kupuuzi ili mradi kimeletwa na CCM tu.

Kaka yangu John alifikiri Bunge ni sehemu ya kutungia nyimbo za kampeni. Tuna safari ndefu na wabunge wetu wasioelewa maana halisi ya uwakilishi wa wananchi wao wanaingia bungeni kuiwakilisha CCM na kudumisha fikra potofu za viongozi wa chama chao.

Si afadhali na huyo komba,kuna mtu anahistoria ya ujambazi mwenyewe anajisifia mtu wa kumwaga mapesa na sidhani kama alimaliza hata darasa la saba! yaani wabunge wa sisiemu wapo wa kila idara mpaka wapiga ramli. sasa hicho chama au msafara wa mamba?
 
wana jf...kweli leo nimeamini wabunge wa ccm ni vichefuchefu....spika amerudisha muswada wa maoni ya katiba wao wanapiga vigelegele na kushangilia bila aibu eti ccm ccm ccm ni aibu kubwa sana,

wamenyamazishwa na lema au kabwe kama sukosei maana sikumuona vizuri akisema shangilieni vizuri maoni ya chadema...nauliza swali kuna mbunge gani wa ccm aliye bungeni sasa hivi aliyetoa maoni kupinga muswada huu wa katiba?

Dah kweli itabidi hata jk ampigie dr wa ukweli magoti na amuheshimu kama kiongozi wake, thanks chadema's team

crap crap crap and crap
 
kwani JK hawezi kumuita ikulu DR kwa ajili ya kuomba ushauri! HIII NI KWA NCHI YETU WAKUU. AU NDO YALE KUOMBA USHAURI PIA NI AKILI!
Thubutu! Washauri wake JK wako Mlingotini na kina Sheikh Yahya aliyempa ulinzi wa masaa 24 wa majini ili asidondoke tena.
Wengine ni watu wa bei poa kama Makamba, Tambwe Hiza, na hivi karibuni tutamsikia Shitambala kahaba la kisiasa lililonunuliwa karibuni na Chama cha Mafisadi; kapi la CDM.
 
Serikali ingefanya kazi kwa sababu wangejua kwamba vikifika bungeni siyo vya kupigiwa makofi bali vya kupigwa makofi


Hahahaha meipenda sana hii...kama ikitokea zikirushwa siku moja wallah wazee hawatagombea ubunge....ila tuichukulie kama changa moto kwamba kwenye haki basi haki isimame badala ya ncha ya upanga ya cuf cdm no box tuu mpaka wagome kugombea..meipenda hii staili..ppls power banaaaa
 
Chama chochote cha siasa chenye baraka za sauti ya wengi (hata kama ni walalahoi tu kama sie hivi) basi chama hicho tayari huhesabika kubahatika kupata baraka za Mungu Mwenyezi kule mbinguni juu. Na kwa hapa nchini mwetu, CHADEMA hakiko mbali sana na ukweli huu.
 
Najua upinzani sio uadui ndio maana namkumbusha rais wako JK akae na Dr wa ukweli ampe maujanja sio mpaka asubirie kufundishwa au kukumbushiwa kwenye majukwaa kama ilivyo sasa.....Dr leo akisema mama kikwete ni Gamba naamini kesho yake JK ataanza kufanya mipango ya talaka..lol


Mtoa mada lazima ujue Upinzani sio uadui bali ni kutoa mawazo mbadala kwa nia na madhumuni kuleta ustawi wa jamii.

Na kiongozi mzuri ni yule anayekubali challenges kwa mustakabali wa jamii nzima. Kwani wote nia ni kujenga na si kubomoa
 
Back
Top Bottom