Kweli biashara ushindani, angalia mabasi mapya ya Shabiby

Kweli biashara ushindani, angalia mabasi mapya ya Shabiby

El'son

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2012
Posts
380
Reaction score
324
Shabiby aingiza mabasi mapya ya level za MBELE!

Yataanza safari Jumatano hii, Dodoma - DSM. Nauli elfu 35 tu.

Tv kila seat (touch screen) + Headphones, WiFi, kuchimba dawa ndani humo humo na misosi na vinywaji humo humo kwa nauli ile ile ya elfu 35.

Bila kusahau utakutana na warembo na mahandsome wajanja wasiopenda usafiri wa hovyo hovyo, watoto wazuri kutoka UDOM, ST.John, CBE n.k!

Ukiwa mchafu/ msela/mvaa mlegezo, hupandi.

Kapande mascania huko!
 

Attachments

  • 1437411806112.jpg
    1437411806112.jpg
    53.4 KB · Views: 11,890
  • 1437411881136.jpg
    1437411881136.jpg
    39.8 KB · Views: 11,251
  • 1437411917977.jpg
    1437411917977.jpg
    59.3 KB · Views: 11,058
Kiume pesa baba Hii nayo ni jeuri ya biashara !!! Hivi ni YouTong
 
wameiga tahmeed na ratco za dar mombasa,nothing new hapo brother,wenzenu wa route ya dar mombasa wamezoea sasa ni mwaka na nusu

Kweli mkuu..wakaribishe huko waone Oxygen buses za hatari mombasa kwenda nairobi mpaka kampala..ni balaaa...Hata hivyo mabasi yapo kwa wenzetu kule zambia na zimbabwe kwenda kwa madiba..yaani ni sleepliner..
 
Kweli mkuu..wakaribishe huko waone Oxygen buses za hatari mombasa kwenda nairobi mpaka kampala..ni balaaa...Hata hivyo mabasi yapo kwa wenzetu kule zambia na zimbabwe kwenda kwa madiba..yaani ni sleepliner..

sisi wabongo bado,hizo oxygen umezijuaje? kenya kuna oxygen za modern coast na madreamliner ya ukweli,nashangaa sana watu wanaanza kuona basi lenye chajin system na tv kila siti mwaka 2015
 
Heheheh mtu aache panda ya 22,000 aje ya 35,000 we Watanzania walivyo wagumu
 
Back
Top Bottom