Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,778
Wanakwaya wenzangu
embu naombeni tuache kumcheze mungu..hapa jiran kuna kanisa ambalo limekuwa na malumbano ya wanakwaya kuchapana mara kwa mara na hili likifika kwa mchungaji anawaita wanatuliazwa yanaisha na bayazaidi wale vichwa wazuri wa kupiga vyombo ndio wanawaaribu madada wa kwaya
wapendwa embu acheni kutumia kwaya kama vivuli vya maasi vyenu kuna sehemu nyingi tu kwa nini mkamchezee mungu kama ni mziznzi kwa nini ujifiche kwenye kilindi cha kwaya acha nasema acha tena ushindwe na ulegee na wewe unaefikiria kujiunga kwa ajili hiyo aacha kabisa jiunge kama umeitwa na mungu kufanya hivyo..usiwafate vidosho ama kutafuta mchumba kupitia kwaya
nawatakia wito mwema
embu naombeni tuache kumcheze mungu..hapa jiran kuna kanisa ambalo limekuwa na malumbano ya wanakwaya kuchapana mara kwa mara na hili likifika kwa mchungaji anawaita wanatuliazwa yanaisha na bayazaidi wale vichwa wazuri wa kupiga vyombo ndio wanawaaribu madada wa kwaya
wapendwa embu acheni kutumia kwaya kama vivuli vya maasi vyenu kuna sehemu nyingi tu kwa nini mkamchezee mungu kama ni mziznzi kwa nini ujifiche kwenye kilindi cha kwaya acha nasema acha tena ushindwe na ulegee na wewe unaefikiria kujiunga kwa ajili hiyo aacha kabisa jiunge kama umeitwa na mungu kufanya hivyo..usiwafate vidosho ama kutafuta mchumba kupitia kwaya
nawatakia wito mwema