mkuu unaonaje nikikuambia USHINDWE????!!!!Msilaumu bure kwani imeandikwa kuwa 'mtu ula kilicho karibu yake'sasa unataka mwana kwaya akachape/akachapwe na sisi tambala?Pia kumbukeni kuwa kila atangazae injili apate riziki katika injili hiyohiyo,sasa wao kukongomezana tatizo nini?