Kwaya gani iliimba wimbo huu?

Kwaya gani iliimba wimbo huu?

Brightman Jr

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2009
Posts
1,224
Reaction score
236
Wadau wa nyimbo za injili kuna wimbo mmoja Isaack Ndodi anapenda kuutumia katika kipindi chake kinachotangazwa na RFA kila siku saa 4 usiku. Moja ya mistari ya wimbo huo unasema HAKIKA NATEMBEA MIMI NI MAREHEMU. Napenda kujua:
1.wimbo huu uliimbwa na kwaya gani?
2.Je, Mch. Ndodi analipia chochote kwa kwaya iliyoimba wimbo huo? Maana unatumika sana kutangaza biashara yake.
Naomba majibu yenu wale wanaojua.
 
Wadau wa nyimbo za injili kuna wimbo mmoja Isaack Ndodi anapenda kuutumia katika kipindi chake kinachotangazwa na RFA kila siku saa 4 usiku. Moja ya mistari ya wimbo huo unasema HAKIKA NATEMBEA MIMI NI MAREHEMU. Napenda kujua:
1.wimbo huu uliimbwa na kwaya gani?
2.Je, Mch. Ndodi analipia chochote kwa kwaya iliyoimba wimbo huo? Maana unatumika sana kutangaza biashara yake.
Naomba majibu yenu wale wanaojua.

Kwaya inaitwa Muungano makao yao yalikuwa Nassa Mwanzo japo kwa sasa sijui maendeleo yao ila ni kwaya ya Wasabato, Sina hakika kama Ndodi analipia au la nahisi lazima kuna maongezi yaliyofanyika hadi yoyote kutumia wimbo huo kama sehemu ya matangazo yakeya Biashara
 
keeeyaaa 23:03 15th January 2013
By Negembo :
Wadau wa nyimbo za injili kuna wimbo mmoja Isaack Ndodi anapenda kuutumia katika kipindi chake kinachotangazwa na RFA kila siku saa 4 usiku. Moja ya mistari yawimbo huo unasema HAKIKA NATEMBEA MIMI NIMAREHEMU. Napenda kujua:
1.wimbo huu uliimbwa na kwaya gani?
2.Je, Mch. Ndodi analipia chochote kwa kwaya iliyoimba wimbo huo? Maana unatumika sana kutangaza biashara yake.
Naomba majibu yenu wale wanaojua. Kwaya inaitwa Muungano makao yao yalikuwa Nassa Mwanzo japo kwa sasa sijui maendeleo yao ila ni kwaya ya Wasabato,Sina hakika kama Ndodi analipia au la nahisi lazima kuna maongezi yaliyofanyika hadi yoyote kutumia wimbo huo kama sehemu ya matangazo yakeya Biashara
Mkuu Keeeyaaa nashukuru kwa majibu yako mazuri. Ubarikiwe!
 
Wadau wa nyimbo za injili kuna wimbo mmoja Isaack Ndodi anapenda kuutumia katika kipindi chake kinachotangazwa na RFA kila siku saa 4 usiku. Moja ya mistari ya wimbo huo unasema HAKIKA NATEMBEA MIMI NI MAREHEMU. Napenda kujua:
1.wimbo huu uliimbwa na kwaya gani?
2.Je, Mch. Ndodi analipia chochote kwa kwaya iliyoimba wimbo huo? Maana unatumika sana kutangaza biashara yake.
Naomba majibu yenu wale wanaojua.

Tena iko sokoni kwa jina hilo hilo jaribu kupita pita kwenye maduka ya nyimbo za injili utaipata kwa shs 5000/= tu!
 
Kwaya inaitwa Muungano makao yao yalikuwa Nassa Mwanzo japo kwa sasa sijui maendeleo yao ila ni kwaya ya Wasabato, Sina hakika kama Ndodi analipia au la nahisi lazima kuna maongezi yaliyofanyika hadi yoyote kutumia wimbo huo kama sehemu ya matangazo yakeya Biashara
Latrice
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom