Brightman Jr
JF-Expert Member
- Mar 22, 2009
- 1,224
- 236
Wadau wa nyimbo za injili kuna wimbo mmoja Isaack Ndodi anapenda kuutumia katika kipindi chake kinachotangazwa na RFA kila siku saa 4 usiku. Moja ya mistari ya wimbo huo unasema HAKIKA NATEMBEA MIMI NI MAREHEMU. Napenda kujua:
1.wimbo huu uliimbwa na kwaya gani?
2.Je, Mch. Ndodi analipia chochote kwa kwaya iliyoimba wimbo huo? Maana unatumika sana kutangaza biashara yake.
Naomba majibu yenu wale wanaojua.
1.wimbo huu uliimbwa na kwaya gani?
2.Je, Mch. Ndodi analipia chochote kwa kwaya iliyoimba wimbo huo? Maana unatumika sana kutangaza biashara yake.
Naomba majibu yenu wale wanaojua.