Hiyo kufungulia saa 12 jioni ipo kwenye kitabu gani biblia!?..yesu alisemaje kuhusu kufunga na kufungulia!?Kwa mujibu wa mchungaji aliyetupaka majivu leo ni kwamba,
Funga ya Kwaresma ni Jumla ya Saa 12 na muda wa kufungua ni Saa 12 jioni
Unapofungulia hakunaga mambo ya Futari wala Daku unakula Chakula cha kawaida tu
Mkazo uko kwenye maombi ya toba na msamaha
Mungu awabariki sana!